Kwani wanawake mnataka nini?

Kwani wanawake mnataka nini?

Ndiyo hicho kisicho eleweka, sasa mtu yupo nyumbani muda wote ni laptop, TV muda wa kuongea na mwenza hakuna wanakutana kitandani saa 5, na ukute shughuli yenyewe mbofu mbofu, malalamiko lazima yawepo, mwingine akifika kitandani dakika 2 nyingi anakoroma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah ni baadhi bhana mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unakuta baba hata mda wa kupiga story na mwanae hana..mke hana!
Tenga basi hata siku mbili off ipe familia hizo siku, soma kitabu na mwanao,ongea mipango yenu na mkeo.
Mtu dizaini ya mtoa mada ndio hao
[emoji23][emoji23] daah nashutiwa tena badala ya kunionea huruma kha people are not people for sure
 
Kitabu kimoja Cha dini kinasema mwanaume ishi na mwanamke kwa akili,Sasa wewe endelea kujizima data kichwani ila siku yakikukuta usije ukasema hatukwambia
Sawa mkuu nimekuelewa Sana [emoji120]
 
Wanawake hawataki mtu asiye na hela, au asiyeweza kutimiza mahitaji yao, LAKINI WAKATI HUO HUO HAWATAKI MTU ALIYE BUSY SANA..!!! Sasa nyokoli hawa sijui hawajui kuwa huwezi kupata hela bila kuwa bizeeee..!!! WANACHEFUA SANA
Mkuu acha tu ndomana nimechefuka Sana juu ya hili jambo
 
mpige mimba watoto interval ya mwaka mmojamoja mpaka 06 na yeye atakuwa busy kuliko wewe ,then utakuw free jamaa.....
Duuh ntamuuwa mtoto wa watu wakuu[emoji848]
 
Back
Top Bottom