Kwani wanawake mnataka nini?

Daah ni baadhi bhana mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unakuta baba hata mda wa kupiga story na mwanae hana..mke hana!
Tenga basi hata siku mbili off ipe familia hizo siku, soma kitabu na mwanao,ongea mipango yenu na mkeo.
Mtu dizaini ya mtoa mada ndio hao
[emoji23][emoji23] daah nashutiwa tena badala ya kunionea huruma kha people are not people for sure
 
Kitabu kimoja Cha dini kinasema mwanaume ishi na mwanamke kwa akili,Sasa wewe endelea kujizima data kichwani ila siku yakikukuta usije ukasema hatukwambia
Sawa mkuu nimekuelewa Sana [emoji120]
 
Wanawake hawataki mtu asiye na hela, au asiyeweza kutimiza mahitaji yao, LAKINI WAKATI HUO HUO HAWATAKI MTU ALIYE BUSY SANA..!!! Sasa nyokoli hawa sijui hawajui kuwa huwezi kupata hela bila kuwa bizeeee..!!! WANACHEFUA SANA
Mkuu acha tu ndomana nimechefuka Sana juu ya hili jambo
 
Anataka umpe muda na pesa.

Mwambie kama anataka umpe muda, basi asiombe pesa
Hawez mkuu ndomana nimeachana nae akatafute atakae muona anamfaa kwa life yake
 
mpige mimba watoto interval ya mwaka mmojamoja mpaka 06 na yeye atakuwa busy kuliko wewe ,then utakuw free jamaa.....
Duuh ntamuuwa mtoto wa watu wakuu[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…