Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yao tuwaachie wenyewe!
Hii thread ilitakiwa iishie hapa, fanbase ndio inabeba watu wa west, nyimbo zao zina watu na watu ndiyo jina.....Mondi anazidiwa kila kitu na Wizkid,kuanzia Kwenye fan base,hit songs,views z video na pesa
Mond haimbi bongo fleva siku hizi anaunganisha stail za kinaija na amapiano kwa sanaaaGenre ambayo wiz anaimba(afrobeats) ina mashabiki wengi kuliko genre anayoimba mondi(bongo flava)
Na kwa vile wiz ni msanii mkubwa sana kwenye afrobeats, basi lazima awe mashuhuri kuliko mondi.
Hapa ni Wizkid vs Diamond sio wizkid vs RemaKuna dogo anaitwa 'Rema'
Hujaelewa bado nimekwambia Diamond hamfikii Rema atamfikia Wiz, umelewa au umelewa?Hapa ni Wizkid vs Diamond sio wizkid vs Rema