Kwanini 90% ya Mabao ya Mbwana Samatta ni Tap-Ins.?

Ila mpaka leo ni mashujaa Manchester United na Ac Milan licha ya offside zao laki moja
Narudia tena! Soka limepitia evolution kubwa sana.

Wangekuwapo kwenye mfumo wa hivi sasa!
Wasingefanikiwa kwa kadiri walivyo fanikiwa kipindi hiko.
 
Its fine kwani unajua ndoto zake ninkufika wapi? Mpira ni magoli...mengine ni manjonjo!
 
Narudia tena! Soka limepitia evolution kubwa sana.

Wangekuwapo kwenye mfumo wa hivi sasa!
Wasingefanikiwa kwa kadiri walivyo fanikiwa kipindi hiko.
Mkuu unajua mifumo ya mchezo wa soka? Kocha anapoamua kumsimamisha mshambuliaji mmoja mbele unadhani anakua ameangalia nn ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nimecheza soka la mchangani,msasani pale ,pia nimewahi kua chini ya kocha Ron Mitjens na timu ya the Future /cubs mazoezi ni pale IST masaki ,
Mwalimu juma matokeo ,mwalimu Ernest Mokake ,

nilipenda soka ila nilikosa sapoti hm nikaachana nalo

Ila nimekula Sana matunda ya soka

Samata yuko vzr ktk eneo la ufungaji ,na ndio maana pale Genk huwa anasimama km MTU wa mwisho kufanya hicho unachokisema
 
Jamaa kaongea ukweli kbs, Samatta sijui kama anaweza chambua kama Hazard
 
Narudia tena! Soka limepitia evolution kubwa sana.

Wangekuwapo kwenye mfumo wa hivi sasa!
Wasingefanikiwa kwa kadiri walivyo fanikiwa kipindi hiko.
Hahaha shida mpira haujui sawa acha tufunge mjadala
 
Jamaa kaongea ukweli kbs, Samatta sijui kama anaweza chambua kama Hazard
Samatta mzuri sana kwenye chenga,ulimuona mechi Simba na Tp Mazembe zote mbili?

Ulimfuatilia kipindi yuko Mazembe?

Genk samatta anasimama km MTU wa mwisho
 
umeongea ukweli ulio na ka chuki flani tena kakubwa tu ndani yake, mambo ya hataenda mbali zaidi ya hapo si kwa matakwa yako ila ya muumba (andiko lako linaonesha hutaki a move mbele)

ivi lukaku huwa anapunguza mabeki wangap? ama morata
 
Nasema hivi ata akifunga kwa mkono kama limekubaliwa basi hilo ni goli tu
 
Kama idadi ya magoli ndio kigezo...basi Msuva angekuwa Yanga SC mpaka sasa....na Bocco angekuwa anakipiga Zamaleck ...
Mkuuu,ebu nambie striker Bora anapimwaje?magoli,dribling,au nn?ukinijibu compare n Samata then ujue umekosea wap
 
Nknachokiona ni kwamba Mbwana Samatta ataishia kucheza soka Genk pekee na mwisho wa siku kustaafu soka akiwa pale pale.
Hapo ndio umekosea, huko juu niliamini unampa changamoto Samata, ila hapo chini nimeona una roho ya kukunja, umtakii kheri
 
Modern football ndiyo imawahitaji hawa sasa au wewe unamjua hazard na Messi tu
 
Kocha Wa samatta weww mkuu unamzidi akili ya mpira.au timu zinazohusishwa kumchukua samata unawaona hawana cha maana watakachopata kwake ???.

Tz kila MTU ni kashasha hilo ndio tatizo letu
 
Hajamuona lukaku chief
wapo wengi mkuu mtu kama Aubameyang na cheche zake zote hajawahi kufunga goli nje ya box kwa maisha yake yote ya mpira sasa lakini ni moja ya striker hatari duniani mtu kama Mauro Icardi, Benzema, Giroud muda wote wapo ndani ya box lakini ni watu wakubwa dunia jamaa anachuki na Samatta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…