Kwanini 90% ya Mabao ya Mbwana Samatta ni Tap-Ins.?

Wapo wachezaji wengi wanafunga magoli ya aina hiyo kwenye ligi kubwa ulaya. Labda kama umeanza kufuatilia mpira juzi
 
Jamaa kaongea ukweli kbs, Samatta sijui kama anaweza chambua kama Hazard
Ko wew shida yako ni samagoal achambue Kama Hazard tatizo umekalia kichwa nasehemu yako yakukalia iko kichwani ko unachoandika ni takataka zilizoshindwa kumeng'enywa na mwili [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona Raul,Van Nister,Chicharito,Mario Jadel nk wapo kama Samata tu
 
Unataka kusema samatta ameanza kufunga magoli kama ya CR7 (penaldooo) emu tuanze kujisifia i ni atua kubwa sana kwa nchi yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo mpaka tumkubali bongo mwenzetu! Ujue parapanda linalia Yesu anarudi tena. Samatta alikuwa majeruhi ndio kwanza anarudi kwenye form yake tena.
 
Giroud ufungaji wake mabao hana tofauti na samata...ni mmaliziaji hana mbwembwe nyingi na yupo Chelsea. Acha roho ya kwanin mzee baba. Samata all day
 
Huko ligi kubwa kuna wanaofunga kama samatta wengi tu...
Mbona husemi akina AJIBU wanafanya nn hapa bongo.
 
nataman nimtukane mtoa mada ila baada ya kugundua kuwa ni mtanzania bas tu. watanzania huwa hatupendan.. wakt wakenya wanataman waanze kusema samatta ni mkenya baadhi yetu et tunataka kumsaliti. hata afunge kwa shingo sawa tu bhan... mpira magoli.
 
Soka la sasa limebadilika sana .....Thats why watu kama hao hawawezi kudumu kwenye soka la sasa Ulimwenguni....

Nitajie mshambulizi wa sasa mwenye kaliba ya Samatta kwenye Ligi kubwa .....
Diego costa, Olivier Giroud, Jamie vardy.
Hao mpira ukija anakufunga
 
Hivi mkuu lukaku anaweza kupunguza hata diffenders 2 lakn cha ajabu anachezea club bora kabisa duniani tupende vyakwetu hukuti mkenya akimkosoa mchezaj wake hata utayakuta bongo tu nimeamin usemi wa wahenga KIKULACHO.......
 
Kinachomsumbua mtoa mada ni ule ugonjwa wetu wa miaka yote. U Simba na U Yanga. Mtoa mada nadhani U Yanga wake unamsumbua. Jamaa Samatta hachezi Bongo yupo nje kama aliwahi Pitia Simba hiyo ni historia tuu. Ampe Sifa zake anazostahili.

Suala la tap ins pia ni sifa. Wenzetu wanaangalia umepata nafasi ngapi ume convert ngapi. Mtu mwenye chances 5 aka convert 5 hata kama ni tap ins anahesabika ni bora kuliko anaye dribble na mwisho kupoteza tuu.

Alicho nacho mtoa mada ni Asilimia kubwa ya Watanzania tulivyo. ROHO MBAYA.
 
Diego costa
olivier giroud
Álvaro morata
Chicharito
Mitchy batshuay
Pierre aubamayang
Hao je wana nini kingine cha ziada??
Wabongo tuna safari ndefu sana..
 
Hivi umeshawahi kumuona chicharito akicheza? Samata hicho anachokifanya ndicho anachokiweza.
Hapo alipofika ni mafanikio makubwa sana. Mimi nitaendelea kumhesabu kama shujaa.
 
Umeongea kitaalamu vizuri tu.. Sema Luna kitu umesahau.. Hata kina trosand magoli wanayofunga ni kama hayo tu.. Nafikiri ni mfumo tu wa kiuchezaji ndo unaosababisha.. Samata kakusanya sana vijiji mazembe huko
 
Giroud kamchukua beki gani, Na mbona yupo timu kubwa Uingereza?
 
Samata siyo Ronaldo wala Messi lakini kiwango chake ni kikubwa sana,ni goal poacher anajipanga kanika nasafi nzuri kama striker hiyo mipira haimuangukii tu kichwani na miguuni na kuelekea kwenye nyavu na makocha wengi wanapenda goal poachers,kama unamkumbuka Raul wa madrid enzi hizo,au Gyan assamoah wa Ghana,au Didier drogba nionyeshe video zao hata moja wamepiga chenga mabeki watatu na kutingisha nyavu,maoni yangu dogo aongezee bidii kwenye kupiga free kicks lakini siwezi kusema ni striker mbovu.
 
Hivi watanzania kwanini huwa hatupendi debate, ni mfumo wa elimu yetu au kitu gani. Kwa nini usimjibu kwa hoja.
90% ya uchambuzi wako ni chuki dhidi ya samatta ila sikushangai kwa kuwa ni mtanzania mwenzangu roho zetu zinajulikana kwenye mafanikio ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…