Mkuu unapenda kushuhudia live vita vya majimaji jinsi vilivyopoteza wagonjwa wa korona baada ya wamachinga wa kariakoo walivyo mshangilia christiano ronaldo alivyoingia bungeni kwenda kununua samaki pale mahakama ya kisutu sio?@GENTAMYCINE unaitwa huku
Aifuti uhalisiWw kwel kilaza
Mambo ni mengiMkuu unapenda kushuhudia live vita vya majimaji jinsi vilivyopoteza wagonjwa wa korona baada ya wamachinga wa kariakoo walivyo mshangilia christiano ronaldo alivyoingia bungeni kwenda kununua samaki pale mahakama ya kisutu sio?
Ni kweli,Wami hapa tatizo kubwa,Kitonga ni hatari sanaWami haina changamoto kivile.
Labda nina roho ya peke yangu huwa napita pale Night Kali na hata sipati wasiwasiNa kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.
Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
ππππ Utafiti wako Ni balaaNa kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.
Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.