Kwanini Abiria wengi wa Mabasi ya Mikoani wakifika maeneo ya Mto Wami na Milima ya Kitonga Nyuso zao huwa ni za Huruma sana?

Kwanini Abiria wengi wa Mabasi ya Mikoani wakifika maeneo ya Mto Wami na Milima ya Kitonga Nyuso zao huwa ni za Huruma sana?

@GENTAMYCINE unaitwa huku
Mkuu unapenda kushuhudia live vita vya majimaji jinsi vilivyopoteza wagonjwa wa korona baada ya wamachinga wa kariakoo walivyo mshangilia christiano ronaldo alivyoingia bungeni kwenda kununua samaki pale mahakama ya kisutu sio?
 
Mkuu unapenda kushuhudia live vita vya majimaji jinsi vilivyopoteza wagonjwa wa korona baada ya wamachinga wa kariakoo walivyo mshangilia christiano ronaldo alivyoingia bungeni kwenda kununua samaki pale mahakama ya kisutu sio?
Mambo ni mengi
 
Njoo ziwa Rukwa ukutane na changamoto za hiyo milimani, ukiwa unapandisha mwenzio anashuka unaona difu dadeki
 
wakati wewe unawaangalia ulikuwa na nyuso gani..na ni kwa nini uwaangalie??
 
Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.

Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
Labda nina roho ya peke yangu huwa napita pale Night Kali na hata sipati wasiwasi
 
Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.

Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
😂😂😂😂 Utafiti wako Ni balaa
 
Write your reply...Labda Wami lakini Kitonga watu wameizoea mno magari yanapishana na kuovertake kama kawa kwa spidi wanayotoka nayo huko huko juu.
 
Back
Top Bottom