Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saizi hao mamba wamekuwa kitoweo cha wachina wanaojenga daraja.Hivi mamba pale wami wanafanta nini au nikivutio, watolewe pale haraka
Wami inatakiwa gari zipite kwa tahadhari kubwa, madereva hutumia kigezo cha ubora wa gari kushuka au kupanda kwa speed.Wami kwa uzoefu wa macho yangu nimeshuhudia sereka sereka za kila aina.
Nshatembezwa kwa mguu kuanzia darajani mpaka geti la kambi ya jeshi tena usiku usiku.
Ile sehemu jamani ni Mungu tu Ngoja hilo daraja jipya la JPM liishe maisha yaendelee tu na mengine yabaki historia.
Tingo wawili wamenusurika kifo ila wamepata majeraha makubwa. Dereva ndio kafariki, na mwili wake umeopolewa. Alikuwa kabanwa ndani ya cabin.Juzi kuna Lori limezama hapo na inavyosemekana ( sijathibitisha ) ni kwamba Miili ya Dereva na Utingo imeshaishia ndani ya Midomo ya Mamba.
Hayo ndio milango ya kuzimu ilipo so hofu huwa ni Leo zamu ya naniNa kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.
Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
Kwa technology ya kisasa ya ujenzi hayo maeneo si hatarishi tena Kama ccm ikiamua sema tu inatumia Kodi na nguvu kubwa kumshughulikia mbowe kuliko kujali uhai na usalama wetu.Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.
Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
Huna unalolijua nyumbu fc kaa na malalamiko yako kama mtoto wa kamboKwa technology ya kisasa ya ujenzi hayo maeneo si hatarishi tena Kama ccm ikiamua sema tu inatumia Kodi na nguvu kubwa kumshughulikia mbowe kuliko kujali uhai na usalama wetu.
Upo darasa la ngapiHuna unalolijua nyumbu fc kaa na malalamiko yako kama mtoto wa kambo
Ww kwel kilazaKwa technology ya kisasa ya ujenzi hayo maeneo si hatarishi tena Kama ccm ikiamua sema tu inatumia Kodi na nguvu kubwa kumshughulikia mbowe kuliko kujali uhai na usalama wetu.
Hao ni Magu typeInategemea na saikolojia ya mtu.
Kuna wengine wanapofika katika hali ama sehemu hatarishi ndiyo "ujeuri" huongezeka mara dufu.
@GENTAMYCINE unaitwa hukuMwandiko na maswali yako yamekaa ki Genta, Genta vipi una undugu na huyo popoma?
Tena wewe mluguru ndio usiongee chochote.Huna unalolijua nyumbu fc kaa na malalamiko yako kama mtoto wa kambo
Kuzama na kuonekana tena?? Hebu fafanua vizuri mkuu au ulimaanisha kutoonekana tena?? Binafsi natamani niijue vizuri historia ya huo mto aiseeMwambie tanzania nzima hakuna Mto ambao una Historia ya Magari Kuzama na Kuonekana tena kama huo Mto Wami ambao Unadharaulika mno.
HahahaaaaMwandiko na maswali yako yamekaa ki Genta, Genta vipi una undugu na huyo popoma?
Mimi nimepita form six aliyoishia dj mbowe....to shortening the story maana naona kama unataka kupata kiki kupitia mimi,Upo darasa la ngapi
Nisipooongea mimi sasa wewe si utaendelea kuwa kilaza na mbumbumbu maisha yako yote,utajifunza wapi??Tena wewe mluguru ndio usiongee chochote.
Weka na kapicha tuwaoneNa kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.
Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.