Kwanini Abiria wengi wa Mabasi ya Mikoani wakifika maeneo ya Mto Wami na Milima ya Kitonga Nyuso zao huwa ni za Huruma sana?

Kwanini Abiria wengi wa Mabasi ya Mikoani wakifika maeneo ya Mto Wami na Milima ya Kitonga Nyuso zao huwa ni za Huruma sana?

Hivi mamba pale wami wanafanta nini au nikivutio, watolewe pale haraka

Wanatega Mingo mno pale kwakuwa wanajua kuwa angalau ndani ya Wiki kuna Madereva Wapumbavu watayadumbukiza mule Magari yao Ndugu.
 
Wami kwa uzoefu wa macho yangu nimeshuhudia sereka sereka za kila aina.

Nshatembezwa kwa mguu kuanzia darajani mpaka geti la kambi ya jeshi tena usiku usiku.

Ile sehemu jamani ni Mungu tu Ngoja hilo daraja jipya la JPM liishe maisha yaendelee tu na mengine yabaki historia.
Wami inatakiwa gari zipite kwa tahadhari kubwa, madereva hutumia kigezo cha ubora wa gari kushuka au kupanda kwa speed.

Daraja jipya litakuwa limeokoa ajali nyingi zisitokee.
 
Juzi kuna Lori limezama hapo na inavyosemekana ( sijathibitisha ) ni kwamba Miili ya Dereva na Utingo imeshaishia ndani ya Midomo ya Mamba.
Tingo wawili wamenusurika kifo ila wamepata majeraha makubwa. Dereva ndio kafariki, na mwili wake umeopolewa. Alikuwa kabanwa ndani ya cabin.
 
Kitu hicho apo.View attachment 1473251View attachment 1473252View attachment 1473253View attachment 1473254View attachment 1473255
Screenshot_20200609-162152_Instagram.jpg
 
Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.

Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
Hayo ndio milango ya kuzimu ilipo so hofu huwa ni Leo zamu ya nani
 
Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.

Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
Kwa technology ya kisasa ya ujenzi hayo maeneo si hatarishi tena Kama ccm ikiamua sema tu inatumia Kodi na nguvu kubwa kumshughulikia mbowe kuliko kujali uhai na usalama wetu.
 
Kwa technology ya kisasa ya ujenzi hayo maeneo si hatarishi tena Kama ccm ikiamua sema tu inatumia Kodi na nguvu kubwa kumshughulikia mbowe kuliko kujali uhai na usalama wetu.
Huna unalolijua nyumbu fc kaa na malalamiko yako kama mtoto wa kambo
 
Mwambie tanzania nzima hakuna Mto ambao una Historia ya Magari Kuzama na Kuonekana tena kama huo Mto Wami ambao Unadharaulika mno.
Kuzama na kuonekana tena?? Hebu fafanua vizuri mkuu au ulimaanisha kutoonekana tena?? Binafsi natamani niijue vizuri historia ya huo mto aisee
 
Upo darasa la ngapi
Mimi nimepita form six aliyoishia dj mbowe....to shortening the story maana naona kama unataka kupata kiki kupitia mimi,

daraja jipya linajengwa na limefikia asilmia 50 ya ujenzi nyie endeleeni kutengeneza sinema wenzenu wanafanya majambo na watanzania wanaona.
 
Na kama haitoshi kuna Abiria wengine mkiwa mnayakaribia tu hayo Maeneo tajwa Mawili Maandiko ya Vitabu vya Dini vya Biblia Takatifu na Quran Tukufu huwa wanayakumbuka na pia wanajua mno Kuyadadavua kwa mapana yake.

Na kinachonishangaza sana mkiyapita tu hayo Maeneo utaona Abiria wote ndani ya Mabasi Nyuso zao zinaanza kurejea katika Ujeuri ule wa Mwanadamu halisi.
Weka na kapicha tuwaone
 
Back
Top Bottom