Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao?

Kwa mwanasheria unakwenda kupata uhalali ya kuwa kivuli ulichonacho kimetokana na original document ambayo mwanasheria ameiona na kuthibitisha.
Sawa mkuu. Asante kwa ufafanuzi wako. Mbona vyeti vya RITA havipelekwi kwa wataalam hawa wa sheria?...
 
Sawa mkuu. Asante kwa ufafanuzi wako. Mbona vyeti vya RITA havipelekwi kwa wataalam hawa wa sheria?...
Labda RITAwanafikiri wana capacity lakini kama kuhakiki kunaingiza pesa inawezekana RITA katika kutunga sheria inayo waweka duniani wameona kuna haja ya kupata hela hiyo basi wakaweka hicho kipengele.
 
Wanachofanya wanasheria ni kuverify copy from original document na sio ku issue hivyo vyeti.
Na hata hicho cheti cha kuzaliwa km ni copy utaverify kwao sio RITA kama unavyodai.
Niko tayari kusahihishwa .
RITA wana issue vyeti pamoja na kufanya verification.

Taasisi za elimu ya juu wana issue vyeti lakini hawafanyi verification.

Kwanini?
 
RITA wana issue vyeti pamoja na kufanya verification.

Taasisi za elimu wana issue vyeti lakini hawafanyi verification.

Kwanini?

Mkuu hata taasisi za elimu wanafanya verification za vyeti. Rejea zoezi la kuhakiki vyeti feki. Vyeti vyote vilipelekwa NECTA kwa ajili ya verification. Why NECTA? kwasababu necta ndio walioburuza nakala za vyeti hivyo kwa walengwa kwa hiyo wao wana kanzidata (database) ya vyeti vyao walivyozalisha.

Infact Siku hizi ukianza kazi serikalini lazima wapeleke vyeti vyako necta vikahakikiwe kabla ya kuingizwa kwenye payroll

Kwa elimu za juu pia Taasisi husika wana wajibu wa kuverify vyeti vyao kwakuwa wao ndio maamlaka pekee iliyoandaa vyeti hivyo.

Kama muajiri anataka verification ya vyeti ni suala la yeye kuomba huduma hiyo kwa taasisi husika.

Kuhusu wanachofanya wanasheria ni kama wadau walivyosema hapo awali ni kusema kwamba hii nakala imeburuzwa kutoka kwenye kopi halisi na si kusema hiki cheti ni halali unless na yeye aliquest kutoka kwenye mamlaka husika iliyotoa cheti hicho.
 
Taasisi za elimu ya juu wanafanya verification ya vyeti wakati wa zoezi la graduates kuomba kazi? Seriously?...

Itakua umechagua kutoelewa mkuu. Suala ni taasisi kufanya verification au hazifanyi jibu ni YES wanafanya kama itakua ni lazima kwa muajiri kasema anataka vyeti ambavyo vipo verified na issued entity. Contrary waajiri wanataka vyeti certified na mwanasheria na sio verified.

Nadhani kinachokunyima raha ni RITA kuwa na online platform ya kuverify vyeti yawezekana wamefanya hivyo labda kuna vyeti vingi vya magumashi mtaani.
 
Nadhani kinachokunyima raha ni RITA kuwa na online platform ya kuverify vyeti yawezekana wamefanya hivyo labda kuna vyeti vingi vya magumashi mtaani.
Hata kama RITA wangekuwa wanafanya verification phyisically kama wanasheria, kwanini kuwe na mismatch? Kwanini kusiwe na hivi unapeleka huku na vile unapeleka kule wakati zote ni documents?...
 
Mwanasheria wakili, hakimu ni makamishna wa viapo kwa mujibu wa sheria notaris public....
so ni jambo la kisheria zaidi hakuna siasa hapo
 
Mkuu, kwa mfano wangu huu wa HESLB ni kwamba vyeti vya kuzaliwa na kufa vilifanyiwa utaratibu wa kisheria kwa maana havijapita katika mikono ya wanasheria? Sio ndio mkuu?
 
Ngoja wataalam waje kufafanua
 
Mimi sijaongelea suala ya ku-issue any document. Ninaongelea verification tu baaaas...
Kuna mambo mawili hapo nadhani unachanganya mkuu, (Samahan huenda nimekuelewa vibaya)
1. Verification of Copy vs the Original Certificate (unaVerify kwamba Copy ni kutoka nakala halis, hii inafanywa na makamishna wa viapo)
2. Verification in Terms of Validity (Unaverify kwamba, Cheti ni Halisi kutoka mamlaka husika, Hii ni kama Necta wanavyofanya kwenye vyeti vya form 4 and 6)

Nadhani Utaratibu namba mbili ni Mgumu, kwa sababu hakuna Standard za vyuoni; Mafano Necta kuna standard Certificate ( Central verification) watahiniwa wote wanapata cheti kutoka mamlaka moja.
 
(1) Kwanini "Copies of Academic Cerificates" zinapigwa muhuri kwa wataalam wa sheria badala ya kupata verification ya taasisi husika ya elimu (zipigwe muhuri wa chuo husika kama ni UDSM, IFM, UDOM, IAA, CBE) ndio ziitwe certified.
Ukiangalia suala zima kwa mapana yake utagundua ni kwanini Wanasheria ingawaje sidhani kama inakatazwa vyuo husika ku-verify vyeti!

Binafsi, mara tu baada ya kupata cheti changu, nikatoa copy kadhaa nikaenda ofisini kwa Faculty Head na akazi-verify zile copies as "Certified True Copy of Original Certificate"!

Baada ya hapo, hakuna popote nilipotakiwa kupeleka cheti kilichokuwa verified na lawyer kwa sababu tayari nilikuwa na verified copies by the faculty head!

Lakini kwa ujumla wake, assume certified copies zimeniishia au nilibeba gamba langu bila kuwa na verified copies na sipo Tanzania lakini kule niliko natakiwa kuwasilisha certified copy!

Je, nirudi Tanzania kuja ku-verify hizo copies? HELL NO... Lawyer atafanya hiyo kazi! Huyo Lawyer anayo legal basis ambayo mtu mwingine hawezi kuwa nayo ukiondoa wahusika wa chuo ulichosoma!!
 
Okay mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…