Uchaguzi 2020 Kwanini ACT-Wazalendo wanahimiza sana Wapinzani Kuungana tofauti na CHADEMA ambao wanataka kila Mtu apambane na hali yake tu?

Uchaguzi 2020 Kwanini ACT-Wazalendo wanahimiza sana Wapinzani Kuungana tofauti na CHADEMA ambao wanataka kila Mtu apambane na hali yake tu?

Hujawahi kuwa mwanachadema mkuu ... otherwise umejiunga leo kwa mfumo wetu mpya wa chadema digital [emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona hata Mheshimiwa Rais Kivuli ajae wa Tanzania Tundu Lissu ananijua kabisa kuwa Mimi na huko huko aliko Yeye na ninamkubali ile mbaya?
 
Wewe unajua nini hali ya kuwa unakuja kuuliza hapa nawe wajiita mwanachadema' hebu Acha upumbavu na ulofa

Nini Kinakuthibitishia kuwa Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE siyo mwana CHADEMA wakati JamiiForums nzima hadi Lissu mwenyewe anajua?
 
Wewe kama mtaalam unapaonaje hapo? CCM mpaka june wana wanachama mil 16 mtaji tayari huo halafu wapinzani bado mpaka sasa wanasuasua. Hata kama ningependa washinde lakini sioni dalili. Kitakachotokea watagawana kura tu na kwaachia ccm mwanya. Ni muono wangu.

Ni kweli Mkuu hata Mimi japo ni Mwana CHADEMA na Mpinzani siipendi CCM, ila kwa 'Udhaifu' Wetu 'Wapinzani' naiona CCM inashinda mapema tu.
 
Huu uchaguzi huenda ukaleta matokeo ya kushangaza.
 
Mbona hata Mheshimiwa Rais Kivuli ajae wa Tanzania Tundu Lissu ananijua kabisa kuwa Mimi na huko huko aliko Yeye na ninamkubali ile mbaya?
Huyo atachukua nafasi ya Lowasa ataendelea kuwa rais wa mioyo ya wana CHADEMA na wa Social Media
 
Walichotarajia wao ujio wa Membe ni tofauti walizani ana ushawishi mkubwa kama ule wa Lowasa sasa wameona ndivyo sivyo wameamua kuwalamba miguu CHADEMA
 
Huu uchaguzi huenda ukaleta matokeo ya kushangaza.

Kwamba atakayeoongoza kwa Kura atakuwa Lissu wa CHADEMA kisha kufuatiwa na Membe wa ACT-Wazalendo na Kumalizia na Magufuli wa CCM?
 
Kila nikiwasikia ACT-Wazalendo wakizungumza naona wanatia sana Huruma na wakati mwingine hadi 'wanalazimisha' Waungane na CHADEMA lakini kila nikiwasikia CHADEMA wao nawaona hawataki huo Ushirikiano wa 'Kinafiki' na badala yake wanataka kila Chama Kipambane tu na hali yake kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao. Safi mno CHADEMA hakuna Kuungana nao Lissu Wetu anatosha.

Kazi ipo mwaka huu!

Mkuu naona unakoleza Ramli chonganishi. Japo mimi sio muumini wa muungano maana huko mbele hugeuka kuwa unafiki mtupu.
 
Walichotarajia wao ujio wa Membe ni tofauti walizani ana ushawishi mkubwa kama ule wa Lowasa sasa wameona ndivyo sivyo wameamua kuwalamba miguu CHADEMA

Na CHADEMA yangu nao 'Wamedinda / Wamekataa' vile vile Kitendo ambacho binafsi kama mwana CHADEMA wa Kutukuka nimekifurahia sana tu.
 
Kila nikiwasikia ACT-Wazalendo wakizungumza naona wanatia sana Huruma na wakati mwingine hadi 'wanalazimisha' Waungane na CHADEMA lakini kila nikiwasikia CHADEMA wao nawaona hawataki huo Ushirikiano wa 'Kinafiki' na badala yake wanataka kila Chama Kipambane tu na hali yake kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao. Safi mno CHADEMA hakuna Kuungana nao Lissu Wetu anatosha.

Kazi ipo mwaka huu!
Sijui umepata wapi mambo haya ya uongo, umemshikiliza Mbowe, Lissu na wengine wanachosema kuhusu muungano? Mtaitumikia ccm sana kwa njaa zenu.
 
Kila nikiwasikia ACT-Wazalendo wakizungumza naona wanatia sana Huruma na wakati mwingine hadi 'wanalazimisha' Waungane na CHADEMA lakini kila nikiwasikia CHADEMA wao nawaona hawataki huo Ushirikiano wa 'Kinafiki' na badala yake wanataka kila Chama Kipambane tu na hali yake kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao. Safi mno CHADEMA hakuna Kuungana nao Lissu Wetu anatosha.

Kazi ipo mwaka huu!
Lakini huo muungano wa vyama nna mashaka nao wasije wakabadili gia angani wakaleta mtu mwingine ni bora kusiwepo uchaguzi.
 
1596640023067.png
 
Back
Top Bottom