Uchaguzi 2020 Kwanini ACT-Wazalendo wanahimiza sana Wapinzani Kuungana tofauti na CHADEMA ambao wanataka kila Mtu apambane na hali yake tu?

Wote akili zinaendeshwa na njaa + tamaa ya madaraka na sio kuwatumikia watanzania.
 
Zitto ameshapiga hesabu Kwamba mwaka huu ACT inakwenda kushika Dora Zanzibar, Zitto sio kama Maalimu, zitto ni king'ang'anizi watafikishana hadi mhakams za kimataifa,kama ccm watafanya uhuni. Hajatarget sana bara. Anataka ajenga chama kwa kuanzia na kushika Dora Zanzibar halafu 2025 aibuke bara. Hizo ni hesabu tu,
 
Zitto ameshapiga hesabu Kwamba mwaka huu ACT inakwenda kushika Dora Zanzibar, Zitto sio kama Maalimu, zitto ni king'ang'anizi watafikishana hadi mhakams za kimataifa,kama ccm watafanya uhuni. Hajatarget sana bara. Anataka ajenga chama kwa kuanzia na kushika Dora Zanzibar halafu 2025 aibuke bara. Hizo ni hesabu tu, bara
 
Act wamebahatika kupata wagombea lkn hawana wapiga kura ambao ni 1:wafia chama

2:Hawana mtu ambaye anaweza kuvutia wapiga kura kwa kumpatia kura za huruma.

3:Anacho taka Zitto ni kuongeza idadi ya wabunge na madiwani ili Chama chake kiupate KUB
 

Waungane ila Lissu awe ndiye chaguo la kupepea bendera kwani Membe = Lowassa! Pili Act Wazalendo walitia mnazi maji 2015. Tatu Chadema walifanya kosa 2015 kwa kumtosa Dr Slaa na kumbeba Lowassa. All in all watachangamsha uchaguzi wa 2020 kama Yanga wanavyochangamsha mashabiki wakati wanapocheza Yanga dhidi ya Simba, kwani magoli yote yashatabirika kuwa Yanga(Upinzani) 10 na Simba(CCM)390 yaani upinzani 2020 hawana kitu!!! Sababu - Magufuli karudisha nidhamu kazini, karudisha Reli mpaka ile ya Dsm Arusha, karudisha Ndege, kaokoa Bandari ya Bagamoyo kwenda kwa Wachina/Oman kwa karne moja(miaka 99) na mengine mengi ila bado kurudisha nyumba za serikali na mashirika ya umma walizojigawia viongozi baada ya Mzee Ruksa kustaafu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…