Kwanini Afrika hawanunui mafuta kutoka Urusi?

Kwanini Afrika hawanunui mafuta kutoka Urusi?

kakolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
397
Reaction score
341
Kwa maoni yangu haipo sababu ya mafuta kupanda Afrika,

(1) Kwanza hawa ku support nchi za magharibi ndio maana wengi wao hawakuilaumu Urusi kwa uvamizi na wengine hawakupiga kura kuilaumu Urusi.

(2) Katika vikwazo alivyowekewa mafuta hayamo hadi sasa nchi za EU ndio zinaongoza kununua mafuta ya Russia tena kwa hela ya Urusi. Walioweka vikwazo bado wananunua mafuta.

(3) China hawakuunga mkono vikwazo ndio maana wanaendelea kununua bidhaa mabali mbali pamoja na mafuta. Afrika tunajielewa kweli?

Waafrika wajiunge wawe kitu kimoja hata kupitia AU wawe wanaagiza mafuta as a block.
 
Afrika tumetegwa tukijichanganya kidogo tu tunapoteana. Unajua Tanzania tulikua na access ya kununua hayo mafuta kwa Bei hiyo ndogo lakini marafiki wetu wakubwa kiuchumi ni mataifa ya maghalibi.

Baada ya Ile kula ya kutokulaani uvamizi ule tulijibainisha kuwa tunaunga mkono, ikamlazimu Mama akazindulie royal tour Marekani kuonesha kuwa sisi ni wamoja na tupo pamoja nao. Hilo tu linatufunga tusitumie bidhaa za Russia kwakuhofia kuchanganywa kwenye msala.
 
Umbali kutoka Russia hadi Tanzania ni mara 3 zaidi ya umbali kutoka Saudi Arabia hadi Tanzania, ni mara zaidi ya umbali kutoka India hadi Tanzania. Fanya hesabu zako za kujumlisha na kutoa.
 
Kuna ukanda wenye mafuta ila tunazungukazunguka tu leta hata haohao akona opec wayachimbe wayaprocess hapa hapa bei zishuke. Tatizo ni % wanazokula watu kwenye uagizaji ushushwaji tozo n.k wameng'ang'ania tu ku import
 
kipindi cha vita ya IRAQ tukapitia humo humo leo vita ya ukrain na urusi tuna pitia humo humo.

naomba kujua duka letu tanzania mafuta tuna nunua wapi!
 
Development partners wetu wanaamini kwenye democracy, wrong invasion na ndio wanaotufadhili mpaka bajeti yetu hatuwezi kwenda kinyume na wishes zao tutakosa mishahara ya waheshimiwe waliojazana na masuti na ma VXR
 
Kwasaba
Afrika tumetegwa tukijichanganya kidogo tu tunapoteana. Unajua Tanzania tulikua na access ya kununua hayo mafuta kwa Bei hiyo ndogo lakini marafiki wetu wakubwa kiuchumi ni mataifa ya maghalibi.

Baada ya Ile kula ya kutokulaani uvamizi ule tulijibainisha kuwa tunaunga mkono, ikamlazimu Mama akazindulie royal tour Marekani kuonesha kuwa sisi ni wamoja na tupo pamoja nao. Hilo tu linatufunga tusitumie bidhaa za Russia kwakuhofia kuchanganywa kwenye msala.
Kwasababu mafuta ya Urusi ni ya kibaguz.
 
Development partners wetu wanaamini kwenye democracy, wrong invasion na ndio wanaotufadhili mpaka bajeti yetu hatuwezi kwenda kinyume na wishes zao tutakosa mishahara ya waheshimiwe waliojazana na masuti na ma VXR
HahahView attachment 2213441
Screenshot_20220505-223224.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maoni yangu haipo sababu ya mafuta kupanda Afrika,

(1) Kwanza hawa ku support nchi za magharibi ndio maana wengi wao hawakuilaumu Urusi kwa uvamizi na wengine hawakupiga kura kuilaumu Urusi.

(2) Katika vikwazo alivyowekewa mafuta hayamo hadi sasa nchi za EU ndio zinaongoza kununua mafuta ya Russia tena kwa hela ya Urusi. Walioweka vikwazo bado wananunua mafuta.

(3) China hawakuunga mkono vikwazo ndio maana wanaendelea kununua bidhaa mabali mbali pamoja na mafuta. Afrika tunajielewa kweli?

Waafrika wajiunge wawe kitu kimoja hata kupitia AU wawe wanaagiza mafuta as a block.
Siyo hawanunui wananunua sn sema ufisadi mkubwa na unyonyaji kwa wananchi
 
Tulivyo watu wa ajabu, tunanunua mafuta toka India, yaani India ni moja ya nchi ambazo Tanzania inanunua mafuta kwake, uliza yeye India ananunua wapi..

Trump alikuwa sahihi mno!!!
 
Kwa maoni yangu haipo sababu ya mafuta kupanda Afrika,

(1) Kwanza hawa ku support nchi za magharibi ndio maana wengi wao hawakuilaumu Urusi kwa uvamizi na wengine hawakupiga kura kuilaumu Urusi.

(2) Katika vikwazo alivyowekewa mafuta hayamo hadi sasa nchi za EU ndio zinaongoza kununua mafuta ya Russia tena kwa hela ya Urusi. Walioweka vikwazo bado wananunua mafuta.

(3) China hawakuunga mkono vikwazo ndio maana wanaendelea kununua bidhaa mabali mbali pamoja na mafuta. Afrika tunajielewa kweli?

Waafrika wajiunge wawe kitu kimoja hata kupitia AU wawe wanaagiza mafuta as a block.
Hapo mtaani kwako tu hanuwezi kufanya kitu as a block.
Kuna wengi hapo wako tayari kununua mchicha super market kuliko kumuungisha huyo mama mboga mwenye genge hapo mtaani.
Watu mnakwenda kunywa mbali badala ya kumuungisha manka kwenye hiyo grocery yake.
In Africa we hate each other and love foreigners or people we don't know.
AU kwa miaka yake yote sijaona walichofanya zaidi ya kufanya kiswahili lugha Yao mojawapo. Hata mnakao Yao makuu wamejengewa na wachina.
Mwafrika sio mtu Kaka. Mke wake aliye zaa nae hataki aguse simu yake wakati mama huyo huyo anamtandazia miguu mmoja Kimara mwingine kigamboni.
 
Tulivyo watu wa ajabu, tunanunua mafuta toka India, yaani India ni moja ya nchi ambazo Tanzania inanunua mafuta kwake, uliza yeye India ananunua wapi..

Trump alikuwa sahihi mno!!!
Makamba hajagundua kwamba uarabuni kwenye mafuta ni karibu kuliko India.
Nadhani ni wakati muafaka msukuma na kibajaji wakapewa wizara maana Hawa wenye degree za vimemo wame prove kua more than useless.
 
Back
Top Bottom