grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Kwikwikwikwikwikwikwikwikwiiiiiiii....teheteheteheteheteheteeeee...utu uzima dawa utoto maradhikuna siku kulikuwa na game ya uefa, nikawa na nacheki sebuleni! gafla mamsap akaita kutokea chumbani "......vp hiyo mechi ngapi ngapi? nikamjibu bado bila bila, njoo mara 1 uwaonyesha jinsi ya kuscore! nilipoenda sikurudi tena sebuleni!"