Kwanini alaumiwe tip tip kwa kununuwa watumwa lakini wasilaumiwe machifu kwa kuwauza watu wao

1907 slavery was abolished in Zanzibar. Sultan Sayyed was allowed to do slave trade only in his territory before it was completely abolished in 1907 but most of Europe and USA, it was abolished much earlier in early 1800's.
 
In tanganyika slavery ended in 1927, when Britain took over tanganyika from Germany.
 
Tip tip took advantage of the loosening power of the sultan and created his own state called Manyema and illegally sold slaves to the Belgians in Zaire where their king leopard declared it his own private land, a country as big as the whole of European Union!
 
Tokyo40


Umesema neno kubwa hapo kwamba huna uhakika juu ya utumwa na tanganyika

na huo ndio ukweli kwa watu wengi hata hao unaowasikia wakipiga kelele kuwalaani waraabu na utumwa.

ukichunga kidogo ndani ya vitabu utakuwa watumwa walikuwa wakinunuliwa kutoka miji maalum sio kila mji. Na si lazima kama miji hiyo ilikuwa na vita kwa miaka 100 mfululizo.

kumbe ilikuwa ni tabia tu ya machifu wa miji hiyo kuwauza watu, wao machifu walijuwa vipi wanawakamata watu na kuwauza, mnunuwaji akifika mjini hapo anakuta kishungu cha watu anakinunua na kukisafirisha
 
Nimejaribu sana kutafuta vitabu vya wanahistoria wa kitanzania kuhusu utumwa lakini Madon watu wan spends tu kulala badala ya kuchapisha research. Sijui wanahistoria update Kielimu Kama hawaandiki vitabu.
 

tip tip halikuwa muhislam na historia waliohalibu wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…