Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bin Faza, elimu yangu ni Ndogo kuhusu utumwa tanganyika na biashara ya utumwa. Ila Najua Kwamba Waafrika Kabla ya Wakoloni kuwagawanya walikuwa wanapigana vita ili wapate ardhi zaidi, Mali na watumwa wa kuwafanyia kazi zao. Hii imeelezwa katika kile kitabu cha Achebe. Na Sio tu afrika ila dumiani kote mnyonge Alikuwa anapokonywa ardhi na Ngugu zao kuwa watumwa Kabla utumwa haujapigwa vita. Kwa mfano, marekani walichukua ardhi kubwa ya Mexico kwa kuwa kijeshi Mexico walishindwa katika vita . Sasa California, New Mexico, Nevada, Texas, Arizona n.k ni Mali ya USA. Zote zilikuwa Mikoa ya Mexico.
Waungwana katika JF
Kila siku kila sehemu katika lalamiko kubwa tunazozisikia ni biashara ya utumwa
lawama kem kem zinamuangukia Bwa Mohammed Murjib au kwa umaarufu wake Tip Tip kama ndie aliendesha biashara ya utumwa huko tanganyika.
Biashara maana yake ni kununuwa na kuuza.
Lawama zote zinamuangukia Tip Tip kwa kununuwa watumwa lakini sijawahi kusikia hata mtanganyika mmoja akiwalaumu MACHIFU wa kabila zao kwa kuwauza raia au watu wao kwa TIP TIP na WaZUNGU.
naomba pasiletwe hoja kwamba tip tip alikwenda na bunduki na akawazunguka watanganyika elfu na kuwachukuwa akawatia michororo ya miguu na mikono na kuwawekea magogo mabegani na kuwapelekwa znz kuwauza.....hii haiwezi ku add up kwasabau na wao walikuwa nayo mikuki na mishale siku hizo
Lazima itakuwa kulikuwa na ushirikiano baina ya tip tip na machifu, mashirikiano ya kibiashara
Nguruvi3 na washabiki wenzako sisemi hivi kuthibitisha kwamba ninafurahiya biashara hiyo, no. mimi ninaulaani kwa level ya juu kabisa
lakini nakusudia kusema kwanini sisi katika generation hii, watu tulisoma na kutembea lakini wenye matatizo mengi kiasai ambacho tukimbebesha tembo anaweza kuanguka........tuwache kushuhulishwa na matatizo yetu na tukerwe na matukio ya 1800s
Ahsanteni