McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Wakati yeye ni shareholder kuna kidume kinamiliki lebo ya music, hakishei na mtu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii reason yenu huwa ni kipuuzi sana,ya kitoto yani...af hainaga ukweliHapendi show off
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii reason yenu huwa ni kipuuzi sana,ya kitoto yani...af hainaga ukweli
Daahh! Watu Mna Maneno Sana., Hahahahahahahaha Mbavu Zanguuumbona anapiga matangazo sana tuu,kama ni muangaliaji mzuri wa TV jaribu kuangalia clouds anaonekana sana kwenye matangazo ya fiesta,kuna moja wameenda kweny shule flan ya wasichana Arusha.
Unamaanisha ulichoandika au unakejeli?Kafanya matangazo mengi sana, ila hapendi tu show off ndio maana hauyaoni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti lebo, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lebo inayocopy beatsWakati yeye ni shareholder kuna kidume kinamiliki lebo ya music, hakishei na mtu..
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo nimejiuliza aseee!
Tumsamehe...kama alimaanisha, basi atakuwa na uelewa mdogo..ndo nimejiuliza aseee!
mtu anayefanya matangazo asiyoyatangaza!
SIJUI UNAMUELEWA?
Kwa akili za kawaida tu kuna kampuni inaweza kumlipa mtu afanye tangazo af wasilitangaze kisa jamaa hapendi show off?
Hapana...ila kumbuka si kila mtu ana akili za kawaida...ndo maana nilikuwa nina cross checkKwa akili za kawaida tu kuna kampuni inaweza kumlipa mtu afanye tangazo af wasilitangaze kisa jamaa hapendi show off?