McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Unaambiwa kila dili la Diamond ni Billion kadhaa [emoji23][emoji23][emoji23] utadhani wahasibu na wake zake wamo umu duh hapo ndipo utawaelewa wenye timu,kwa nini mtoa mada umehoji kuhusu Kiba na sio Madee,Jux au Best Nasso au ukitoa Diamond msanii ni Kiba tu?
Mnamkubali alafu mnamkataa nahisi hamuelewi hata mfanye nini.
Mnamkubali alafu mnamkataa nahisi hamuelewi hata mfanye nini.