Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?

Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?

Mkuu hata uyo babu tale hakueko uko mombasa,inaesemekana aliezima ni mendez lakini napo ni uongo mtupu (kiki),ukweli ni kwamba team alokuja nayo breezy ndio waliomzimia maiki ya kibakuli baada ya kuona anazingua.kwanza alimlazimisha wizkid aanze,ndo yeye afuate alafu kupanda kwa stage anaanza mbwembwe.Kingine dogo bila baba Nillan haendi kama ni mfuatiliaji utajua kwanini,kuna show moja iliandaliwa kenya.Promota akatangaza yupo mondi tu na hawakumtangaza kiba ingawa na yeye alikua anakuja ku-perfom!.Msanii mwenye akili utakubali huu ujinga kweli.Mondi akaperfom masaa yake,kiba akapanda kwa jukwaa watu wanasepa.Trust me there is [HASHTAG]#NoAlikibaWithoutDiamond[/HASHTAG] ndo maana hataki bifu liishe!!
Porojo
 
unataka kutwambia kiba huwa harushi vijembe kwa mond....au unajitoa ufaham mbona mond mnapendaga kumuona ndo mrusha vijembe sana kwa mwenzake lakini vijembe vya alikiba huwa hamvioni.....kumtuhumu mwenzio ananunua tunzo mara view zako ni real cyo za kutumia robot, mara mziki mzuri no janja janja.....kuingilia show ya mwenzio as a sapraiz artist (mombasa) hivo vyote huwa hamvioni

ingia sporah show kipindi kiba ndo yupo kwenye harakati za kurudi uone vijembe ambavyo kiba alivitupa kwa mond cyo vya nchi mfano, kizuri kikikosekna hata kile kibaya huonekana kizur.....mlishangilia sna hizi kauli lakini mond akijibu moja tu mnaandamana......nashauri kitu kimoja kama mond unapitaga kwenye hii jamii forum pliz usije ukamzungumzia kiba tena even kwa uzuri even kwa ubaya maana ww umeonyesha kutaka yaishe mwenzio kachukua advantage ya kama ww umesarenda.....wenye akili tumeng'amua kuwa ni yupi ana beef na mwenzie pliz mond usije kujibu swali lolote linalomuhusu huyo wa mchangani....jana umeniuzi na kunikera kuzidi siku yyt tangu nianze kuwa shabiki yako.....umeonyesha weakness ya hari ya juu sana.
Si wanajisahaulisha. Yani siku zote wanamsema mondi, akiwajibu yeye ndo mbaya na matanga wanaanika. Kama vipi bifu tulibebe tu uyo ali matembo akanyewest
 
Si wanajisahaulisha. Yani siku zote wanamsema mondi, akiwajibu yeye ndo mbaya na matanga wanaanika. Kama vipi bifu tulibebe tu uyo ali matembo akanyewest
..ahahah.!Wakumbushe dadeq,wanapenda kujifanya watakatifu kumbe ushuzi tu!!
 
Ndio.
Kiba hana fans bali ana antfans wa mondi. Ndo maana upepo ukimjia msanii flani wote wanahamia huko kama darasa na harmorapa. Kwenye page zao zimejaa post za mondi kuliko za kibakuli. It's obvious sio fan wa kiba bali antfans wa mondi [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hadi wakawa Anti Mond wengi hivyo kuna tatizo mahali
 
Ndio.
Kiba hana fans bali ana antfans wa mondi. Ndo maana upepo ukimjia msanii flani wote wanahamia huko kama darasa na harmorapa. Kwenye page zao zimejaa post za mondi kuliko za kibakuli. It's obvious sio fan wa kiba bali antfans wa mondi [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hawa ndio watu wenye interagency kubwa
Big up kwa good points
 
UShabiki mwingine ni shida domo si ndio alianza bifu sasa anataka liishe ili iweje .kilichomfanya babu tale azime mic kule mombasa nini .ungekuwa wewe ungelimaliza hilo bifu? Hapo kuna jambo la hatari litakuja kiba usikubali ng'oooo
Inaoenekana wew hujui kinachoendelea kwenye mziki wa tz usituletee story za vijiwe vya draft na kahawa hapa kwa great thinkers
 
Huyo Alikiba zama zake zipita kitambo sana!

Wanaompaisha ni wale wenye chuki na Diamond..sasa unafikiri akipatana na Diamomd mashabiki wake watatoka wapi?

Diamond ni diamond kama ilivyo diamond..huwezi kumfananisha na mwanamuziki yeyote kwa sasa ndani ya Tanzania!

Alikiba apunguze kiwango chake cha roho ya korosho na aache kujikuza kwasababu kwa sasa Diamond ndio anampa UGALI.
 
13144d6238e0a50520966bc014f2c0d8.jpg
 
Kiba hawezi kusurvive katika game bila kuwa na bifu na mond hawezi kutoa nyimbo kali bila kiki.mond kaona kuwepo na bifu hakumsaidii kaamua aipotezee zaidi anamnufaisha kiba tu,Natamani bifu hii iishe ili tuwapime kwenye kazi zao,nani katoa mkwaju mkali nani ni KIKI master.
 
Back
Top Bottom