Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Mbona kashatoa ngoma 2 mwezi huu ila sema hapendi show off anazisikiliza yeye na mdogo wake abdu
au ni kwavile kakimbiwa na mke wake aliechukia mrundikano wa ndugu nyumba wanayoishi, .
Hahahahahahah!!!!!Mbona kashatoa ngoma 2 mwezi huu ila sema hapendi show off anazisikiliza yeye na mdogo wake abdu
[emoji3]Mbona kashatoa ngoma 2 mwezi huu ila sema hapendi show off anazisikiliza yeye na mdogo wake abdu
[emoji23][emoji23]aisee!Mbona kashatoa ngoma 2 mwezi huu ila sema hapendi show off anazisikiliza yeye na mdogo wake abdu
Ukisikia mtu anajiharibia basi kiba ni moja wapo, samaki akivuliwa huwa anakunjwa mapema wakati bado mbichi.
Sijui ni kwamba kawa kimya kwasababu amempoteza master mind Ruge, au ni kwavile kakimbiwa na mke wake aliechukia mrundikano wa ndugu nyumba wanayoishi, au anataka kurudia kupiga mbizi kama 2010 na akaibuka upya 2015.
Huyu mwana ni muongo [emoji23][emoji23] wapi kiba alisema wameachana na mke wake? Hv hizi taarifa mnatoaga wapi nyie mwenyewe mke ajasema ww ni nani kwa Alikiba labda?Kama ni kweli, huyo hafai kuwa mke, japo hiyo tabia ya ndugu sio nzuri kama hamna sababu maalum
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mwana ni muongo [emoji23][emoji23] wapi kiba alisema wameachana na mke wake? Hv hizi taarifa mnatoaga wapi nyie mwenyewe mke ajasema ww ni nani kwa Alikiba labda?