Gifted JF-Expert Member Joined Feb 24, 2017 Posts 476 Reaction score 852 Oct 31, 2019 #81 Kumbe kiba tayari kashaachana na mke wake mkuu
DiasporaUSA JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 23,382 Reaction score 29,639 Nov 1, 2019 #82 Gifted said: Kumbe kiba tayari kashaachana na mke wake mkuu Click to expand... Maneno ya Haters tu
MAGO JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 2,278 Reaction score 3,023 Nov 1, 2019 #83 Kanyang'anywa kalamu yake na Diamond,
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Nov 1, 2019 #84 kwa hali ilivyo kiba anaweza asitoe ngoma miaka miwili stil kuna watu watamtaja tu.
Sweet16 JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 5,314 Reaction score 9,215 Nov 1, 2019 #85 Statesmann said: kwani mdau ngoma zote alizonazo hazitoshi wewe kusikiliza hadi atoe zingne? Mbona kuna wasanii kibao tu hawatoi ngoma mpya na bado tunasolikiliza walizotoa zamani! Click to expand... Ukiona mtu wa ivo kwanza ni loser, hana pesa, hayuko bize, kwaiyo kazi alonayo ni kufuatilia flani kafikia wapi, flan kashuka, sjui kanunua gari baya,aaghhhrr
Statesmann said: kwani mdau ngoma zote alizonazo hazitoshi wewe kusikiliza hadi atoe zingne? Mbona kuna wasanii kibao tu hawatoi ngoma mpya na bado tunasolikiliza walizotoa zamani! Click to expand... Ukiona mtu wa ivo kwanza ni loser, hana pesa, hayuko bize, kwaiyo kazi alonayo ni kufuatilia flani kafikia wapi, flan kashuka, sjui kanunua gari baya,aaghhhrr
Murano JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 2,056 Reaction score 1,102 Nov 17, 2019 #86 troublemaker said: Ana ngoma kibao tu mbona. ndugu yetu hapendi show off anazisikiliza mwenyewe akiwa na wanae kwenye sabufa yake nyumani Click to expand... Nyie watu mnaua ππππ
troublemaker said: Ana ngoma kibao tu mbona. ndugu yetu hapendi show off anazisikiliza mwenyewe akiwa na wanae kwenye sabufa yake nyumani Click to expand... Nyie watu mnaua ππππ