sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ali Kiba kaanza kuimba zamani sana aisee, miaka ya 2006 jamaa aliwahi kupewa milioni 200 kwa mauzo ya kaseti na cd zake, hio milioni 200 ya enzi hizo naweza kusema ni kama milioni 600 ya sasa.
Hakuishia hapo tu aliendelea kupiga mikwanja mizito endelevu miaka na miaka mpaka sasa lakini bado hawezi kuwekwa level ya kiwango cha msanii tajiri.
Kiuchumi yupo vizuri ila hatuwezi kumweka level za tajiri kama wasanii wengine wa Afrika ambao wamo kwenye list ya matjiri.
Magari - Gari zake nyingi ni toyota za mjapani ambazo hazivuki milioni 100, wasanii matajiri wengi hununua magari ya ulaya na marekani ya kuanzia milioni 500 mpaka mabilioni, hata range huwa inaonekana gari ya kawaida
Makazi - Nyumba anayoishi nayo nzuri lakini haijafikia viwango vya jumba la kifahari, wasanii matajiri huishi kwenye mijumba ina swimming pools, back up generators, nk
Mavazi - Nguo anazovaa za kawaida sana, kumkuta kanyuka hata Gucci kama ilivyo kwa wasanii wengi matajiri ni nadra
Ali anafeli wapi ??
Hakuishia hapo tu aliendelea kupiga mikwanja mizito endelevu miaka na miaka mpaka sasa lakini bado hawezi kuwekwa level ya kiwango cha msanii tajiri.
Kiuchumi yupo vizuri ila hatuwezi kumweka level za tajiri kama wasanii wengine wa Afrika ambao wamo kwenye list ya matjiri.
Magari - Gari zake nyingi ni toyota za mjapani ambazo hazivuki milioni 100, wasanii matajiri wengi hununua magari ya ulaya na marekani ya kuanzia milioni 500 mpaka mabilioni, hata range huwa inaonekana gari ya kawaida
Makazi - Nyumba anayoishi nayo nzuri lakini haijafikia viwango vya jumba la kifahari, wasanii matajiri huishi kwenye mijumba ina swimming pools, back up generators, nk
Mavazi - Nguo anazovaa za kawaida sana, kumkuta kanyuka hata Gucci kama ilivyo kwa wasanii wengi matajiri ni nadra
Ali anafeli wapi ??