Kwanini Ali Kiba kaanza kukamata pesa ndefu tangu zamani lakini bado sio tajiri?

South Africa ipi??? Diamond mwenyewe hamfikii Somizi kwa pesa, lol. Unachekesha sana wee, hapa sio FB.
Hahaha mm syo mpenzi wa miziki hii
Ila kiukweli kwa bongo hakuna msanii anaye mgusa hiyu mtoto kutoka tandale

Ova
 
Haya masanii maongo sana.
 
South Africa ipi??? Diamond mwenyewe hamfikii Somizi kwa pesa, lol. Unachekesha sana wee, hapa sio FB.
Somizi tajiri Sana. Nilimwona huruma ndoa yake ilipovunjika. Yule mohale alifata pesa
 
Hizi show off ndo zinawafanya wasanii wakiumwa watu wadharau kuwachangia kwasababu ya kujionyesha au kushindana na watu.
 
Kinachomponza kiba ni kujiweka low key yani yupo local kinoma anayebisha aje sanene Tabata kuna uwanja unaitwa bernabeu tupo nae tunacheza nae mpira ..mara ya kwanza nikawa namshangaa baada ya kumzoea ndio nikajua kiwa uyu mwamba ndio maisha aliyoyachagua ..all in all jamaa hela anayo sema ndio ivyo apendi show off[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
harmonize anafanya kaka mond,na ameshatoboa.

kama anakopesheka kiasi hicho basi kayapatia maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…