Kwanini Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu hakuvaa sare za Jeshi wakati akiwatunuku kamisheni wanajeshi?

Kwanini Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu hakuvaa sare za Jeshi wakati akiwatunuku kamisheni wanajeshi?

Kweli ukimiliki media unamiliki na akili za watu jamaa alikuwa anajua lazima rais avae magwanda kisa Magufuli alikuwa anavaa.
Avae kwani yeye mwanajeshi au unafikiri ana akili ndogo kama watawala wangine wa kiafrica?
Kila mtawala africa lazima avae gwanda au upewe uDr.
... kweli jiwe alipoteza watu; hizi id's sijui zilipotelea wapi. Nje kumekuwa shwari sasa kila mmoja anatoka shimoni. Juzi Faiza naye kaonekana!
 
Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Raisi Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubir alipotokeza nikazani ni yule Raisi Nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Raisi au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali Ya Jamhuri ya Muungano yaTz ,kwa nini hakuvaa magwanda ??

Japo kwenye sikuku ya Eid avalie hayo magwanda tupige nae picha wakati tnaenda kupokeamkono wa eid. hebu avae tumuone ! Turizike tu ,mana sijaamini kama Mkuu wetu wa majeshi pia ni mwananke.
Sasa Sheikh unataka mama avae mavazi ya kijeshi mwezi huu wa Ramadhani? Au ndo mna ajenda ya kumuona mama akiwa ndani ya suruali? Atajisitiri vipi kichwa chake ndani ya lile vazi?
 
Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Raisi Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubir alipotokeza nikazani ni yule Raisi Nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Raisi au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali Ya Jamhuri ya Muungano yaTz ,kwa nini hakuvaa magwanda ??

Japo kwenye sikuku ya Eid avalie hayo magwanda tupige nae picha wakati tnaenda kupokeamkono wa eid. hebu avae tumuone ! Turizike tu ,mana sijaamini kama Mkuu wetu wa majeshi pia ni mwananke.
Rais Samia hana mambo ya show off.
Lini uliwahi kumuona mh Kikwete amevaa kombati za jeshi wakati wa kipindi chake cha urais?


Pamoja na kwamba mh Kikwete ni ex-sodier?
 
Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Raisi Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubir alipotokeza nikazani ni yule Raisi Nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Raisi au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali Ya Jamhuri ya Muungano yaTz ,kwa nini hakuvaa magwanda ??

Japo kwenye sikuku ya Eid avalie hayo magwanda tupige nae picha wakati tnaenda kupokeamkono wa eid. hebu avae tumuone ! Turizike tu ,mana sijaamini kama Mkuu wetu wa majeshi pia ni mwananke.
Imekwisha hiyoooooo
Sasa hivi tupo awamu ya 6
 
Kuhusu Nyerere kama alivaa huko nyuma na hasa kutokana na harakati zake za kuwaunga mkono wapigania uhuru wengine wa Afrika lakini kuanzia Mwinyi,Mkapa na Jk hakuna wakati wowote kwenye tukio lolote wamewahi kuvaa Combat.
Jibu zuri sana
 
Sasa Sheikh unataka mama avae mavazi ya kijeshi mwezi huu wa Ramadhani? Au ndo mna ajenda ya kumuona mama akiwa ndani ya suruali? Atajisitiri vipi kichwa chake ndani ya lile vazi?
Amnaa, lipo koti sana yakitumiwa na Adolf ata ile nguo alivaa juzi nilizani ni lile koti hata yule wa Korea Nunda huvaaga sana koti la kijeshilinafanana na yale ya umvua.
 
Kuhusu Nyerere kama alivaa huko nyuma na hasa kutokana na harakati zake za kuwaunga mkono wapigania uhuru wengine wa Afrika lakini kuanzia Mwinyi,Mkapa na Jk hakuna wakati wowote kwenye tukio lolote wamewahi kuvaa Combat.
Wajinga hawajui kwa nini na wapi Raisi anatakiwa kuvaa uniform za Amiri jeshi.
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
You nailed it. Huku Morogoro wa hivo tunamuita GOROKO

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Tulidhani kifo chake kitawaondelea zile stress na kuwafanya muwe na furaha ila wapi.
 
Kweli ukimiliki media unamiliki na akili za watu jamaa alikuwa anajua lazima rais avae magwanda kisa Magufuli alikuwa anavaa.
Atakuwa yuko secondary ameanza kumuona Rais Magufuli.
 
Wewe na huo ujanja wako una nn?hiiiii eti mshamba mwenzako alipambana akatengeneza maisha mpaka ya watoto wa vitukuu vyake unamuita mshamba Wewe na ujanja wako nani mshamba hapo?
Hata mwizi,haramia, tapeli au jambazi mwenye mafanikio naye anaweza kuuliza wale walio na maadili, kuwa maadili yao yamewapa nini? Kwa hiyo tujisikie vibaya kuwa na sifa njema kwa sababu wenye sifa za uovu wanafanikiwa? Unaweza kumuonea shetani wivu kwa sababu wewe utakufa na shetani anaendelea kuwepo mwisho wa Dunia?

Kilinge
 
Rais Samia hana mambo ya show off.
Lini uliwahi kumuona mh Kikwete amevaa kombati za jeshi wakati wa kipindi chake cha urais?


Pamoja na kwamba mh Kikwete ni ex-sodier?
Kwahiyo kwa sababu Kikwete havukaa hivyo na Magufuli alitakiwa amgeze Kikwete? sasa si ujinga huo,nina hakika kama sio kujistiri basi Mama Samia angevaa hizo gwanda ili kuonesha kuwa ni Amiri jeshi mkuu pamoja na kuwa ni mwanamke.
 
Karibu Marais wote ambao ni maamri Jeshi Wakuu kwa nchi zao huvaa kijeshi ikiwapendeza, sio Africa tuu, hata kwingine.
Rais yupi wa Marekani aliyewahi kuvaa nguo za jeshi? Sana sana wanavaa jacket tu ya air force. Au Ulaya Magharibi ambae anavaa nguo za kijeshi? Wanajua kabisa kuwa Amiri Jeshi Mkuu hakuwafanyi wawe wanajeshi. Ni kama yule waziri wa utalii nae alivyokuwa anapenda kuvaa kombat!

Amandla...
 
Back
Top Bottom