ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ww kapuku una nini cha maana zaidi ya kushinda mitandaoni kuwanga na kalio!!???Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Marais wote waliopita hawakuwahi kuvaa magwanda kwenye shughuli kama hizo, ina maana hawakuwahi kuwa amiri jeshi mkuu? Kwani magwanda ndio yanakufanya kuwa amiri jeshi mkuu?Karibu Marais wote ambao ni maamri Jeshi Wakuu kwa nchi zao huvaa kijeshi ikiwapendeza, sio Africa tuu, hata kwingine.
siajabu wazazi wako walishafukiwa au wapo mbioni kufukiwa vile vile.....Uchafu ni lile lililofukiwa, sasa hivi wafuasi wake wamebaki kulia kama mbwa jike linalohitaji mbwa dume lishughulikiwe.
Hiyo ni kazi ya muumba kuamua....Unaangaika kumsafisha mtu ambaye asafishiki unapoteza muda wako bure,yule sio binadamu ni shetani
Kabisa mkuuHapo umeongea mkuu,mwinyi,mkapa ,kanali kikwete Hawa wote walikuwa Amiri mkuu kwa kipindi Cha miaka kumi na hawakuwahi kuonekana na combat hata siku moja,hata Mwalimu JKN ukiachilia kipindi kile Cha Vita ya kagera ambapo occasionally alipiga combat hakuwa anaendekeza kuvaa combat.
Alikuongopea wewe na wenzako wa aina yako.Sasa huyu mwendazake kafanya vip??
Kila siku kutuongopea kuwa nchi hii ni tajir na tunajiendesha KWA pesa zetu za ndani kumbe anakopa kopa huko nje,deni la Taifa limeongezeka Mara dufu katika kipind chake kifupi alichokaa mwendazake
Huoni hata aibu kusema eti kutembeza bakuli ni suala lisiloepukika. JPM hakutembeza bakuli, alikopa, na hivyo ni vitu viwili tofauti. Kwa nchi ilipokuwa imefikia hadi kutegemea msaada ili kufanya uchaguzi mkuu ilikuwa ni kuuza utu wetu.Swala la kutembeza bakuli ni jambo lisiloepukika kwa uchumi wa nchi yetu hata huyo Magufuli aliyekuwa anaongopa kutekeleza miradi mikubwa kwa fedha za ndani ndiye amekopa fedha nyingi katika kipindi kifupi cha utawala wake kuliko rais yeyote aliyepita,mradi pekee uliotumia fedha za ndani kwa 100% ni ununuzi wa ndege tu lakini maeneo mengine kwa sehemu kubwa ama tumekopa ama tumepokea asilimia fulani ya ufadhili sema yeye tofauti yake na wenzake ilikuwa ni kujikweza ndio maana hata serikali ikipeleka fedha sehemu alikuwa akijinadi ni fedha zake yaani kama yeye ndiye alikuwa akiifadhili serikali.
Ukiambiwa utoe ushahidi he killed unao mkuu?na alidhulumu unao? + kazi ya hukumu ni ya Mungu Wewe u msafi?uko msafi kiasi cha kunyooshea wenzako tena wendazao vidole?Sasa umesikia nimeomba chochote kwake! Najimudu kwa kiasi nilichaajiriwa mimi siwezi mapambano aliyoyafanya yeye(kuuwa watu na kudhulumu haki za wengine) eti ili tu nipate mapesa mengi yatakayokuja kutumiwa hadi ma vitukuu vyangu.
Tupe ushahidi wa watu waliowahi kufanyiwa hivyo na mazingira yake.Maelezo yako hayajitoshelezi.Leo ukisema fulani anatetea mabeberu na hivyo mtu kama huyo ni msaliti hivyo hastahili kuendelea kuishi halafu hata wiki haiishi kuna mtu anashambuliwa kwa risasi hapo unataka tuwe na ushahidi gani? Au mtu tu anahoji uhalali wa Phd yako halafu siku chache baadaye anapotea mazima unataka watu wamnyooshee kidole nani!
Huko Arabuni kwenye mizizi ya uislam hakuna wanajeshi wanawake?Kwa imani yake ya kiislam haruhusiwi. Magwanda ya Kijeshi siyo Sunna.
How sure are you?Kwa imani yake ya kiislam haruhusiwi. Magwanda ya Kijeshi siyo Sunna.
Hamna mkuu ni uchuroHuko Arabuni kwenye mizizi ya uislam hakuna wanajeshi wanawake?
Kwani ile kofia na lile joho hukuliona?Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Rais Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubiri alipotokeza nikazani ni yule Rais nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Rais au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,kwanini hakuvaa magwanda?
Muda umeamua. Amevaa magwandaAvae kwani yeye mwanajeshi au unafikiri ana akili ndogo kama watawala wangine wa kiafrica?
Kila mtawala Africa lazima avae gwanda au upewe uDr.