Kwanini Antony Mtaka anatajwa sana mbio za urais 2025?

Kwanini Antony Mtaka anatajwa sana mbio za urais 2025?

Ili uwe mkuu wa nchi Tz ni muhimu kutokea ukuu wa mikoa huko serikali unaijulia kupitia mikoa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Sio lazima kuna vitu vingi zaidi ya hivyo vya ukuu wa mkoa

Mtu achape kazi tu eneo lake wanaojua kuangalia watampa tu

Magufuli alipata kwa njia hiyo tu hakuhonga wajumbe, wala uraisi alikuwa hataki akashinikizwa baada ya kuona kuna moto.Kuwa kuna uwezekano wa CCM kupigwa chini 2015

CCM ikalazimika isitake itafute mtu analia na wananchi hata kama ndani ya chama hakubaliki sana!!! Kwa traits za tabia yake!!

Cha msingi fundi na kibarua hujulikana law kazi zao
Ushauri wangu kila mtu achape kazi eneo lake ikiwa nzuri hata mbele ya Safari Mungunatakuwa mtetezi wake na atamsaidia.Kwenda juu

Watu wajifunze kilichotokea 2015
Giants wenye pesa na connections na kukubalika ndani ya Chama walibwagwa chino na Magufuli ambaye hakuwahi kushika cheo chochote cha huchaguliwa ndani ya CCM hata cha ujumbe wa nyumba Kumi hadi Professor Mwandosya alilalamika kuwa mtu kama huyu asiye na uzoefu ndani.ya CCM anapewaje uenyekiti taifa kwa kuteuliwa ugombea uraisi?
Watendaji ndani ya CCM na Serikalini.chapeni kazi mlizopewa maeneo yenu.Ndiyo yataamua future zenu sio.kuchonga mifomo tu na kuuza sura kwenye press!!

Lowasa alikwama pamoja na kuwa Press zote zilikuwa kiganjani mwake
 
Inchi yetu ilipofika kwa sasa haiitaji watu serious kama Mtaka maana wanajua tunaweza rudi zama za JPM Bure.
Watu wanataka kula bata tuu aka ponda mali kufa kwaja
 
Jenista Mhagama, Stergomena Tax, Lukuvi, Majaliwa, Mwinyi, Luhaga Mpina ni wakomavu kuongoza nchi,japo watapigwa vita sana.
 
Lukuvi 2025 atakua na miaka 70. Nchi hii wanawake waendelee kubaki jikoni, asante.
Jenista Mhagama, Stergomena Tax, Lukuvi, Majaliwa, Mwinyi, Luhaga Mpina ni wakomavu kuongoza nchi,japo watapigwa vita sana
 
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka anatajwa sana kwenye mbio za urais mwaka 2025 hasa ukizingatia ni kiongozi mnyenyekevu na mchapakazi sana tangu alipokuwa Simiyu, Dodoma na sasa Njombe.

Ni moja wa Wakuu wa Mikoa nadhani waliotajwa pia na RC Chalamila kuwa wako kwenye mbio za urais 2025 mimi binafsi yangu naona anafaa sana kuongoza ni kiongozi mzuri sana

Japo atakutana na mnyukano mkali kutoka kwa akina Madelu na Makamba lakini bado nyota yake inang'ara maana kila mahali anazungumzwa vizuri sana
mabingwa wa kuharibiana mmeshaanza ndiyo zenu.
 
Jenista Mhagama, Stergomena Tax, Lukuvi, Majaliwa, Mwinyi, Luhaga Mpina ni wakomavu kuongoza nchi,japo watapigwa vita sana.
Apo wampe Mjaliwa Kassim Majaliwa inchi isonge ila ndo ivyo hawata dhubutu mzee ana pini sometimes JPM haingii ndani
 
Back
Top Bottom