Matusi ni kosa la Jinai kwanini wasimyake na kumsimamisha Kizimbani?!

Tena ukionyesha kuwa yeyote atakaetukana matusi ananyakwa Vijana wengi watafuata SHERIA.
Tena na Sheria ipo, ilitungwa na Bunge ikapitishwa na Rais. Cyber crime Act 2015
 
Kwa jinsi ulivyo Mnafiki, mbona huulizi kwann umeachwa Katavi
 
HIYO ITAKUWA IMETENGENEZWA NA WABAYA WA YULE RC JASIRI
 
Arusha kuna haramia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…