Kwanini asilimia kubwa ya fedha inayotekeleza miradi katika nchi hii ni fedha za mikopo?

Kwanini asilimia kubwa ya fedha inayotekeleza miradi katika nchi hii ni fedha za mikopo?

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kama nchi tunatakiwa tujisimamie sisi wenyewe katika utekelezaji wa miradi inayotekelezwa katika nchi hii. Karibu zaidi ya asilimia 90 ya miradi yote inayotekelezwa katika nchi yetu ni fedha za mikopo huku tukitamba kuwa Mama analeta fedha za miradi kumbe ni fedha nyingi ni za mikopo.

Tunatakiwa tujisimamie sisi wenyewe na tujenge miradi yetu kwa fedha zetu za ndani kuliko kila kukicha ni mikopo ambayo mwishone anayelipa ni mwananchi.
 
Kwasababu ndio pesa rahisi kwenye upigaji, na hainaga wa kuuliza hadi siku tutakapo anza kuilipa ndipo wananchi wanaanza kupata maumibu yake
 
Fedha za ndani hifadhi tunayo ngapi ?

Tunaweza endesha projects za kuanzia 1 trillion + au 10Trillion + kwa pesa za ndani ?

Tuna huo ubavu wa kuendesha mega projects kwa pesa za ndani ?
 
Back
Top Bottom