Unataka kumsema Mzee Halima Mdee.Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Sijasema wote nimesema walio wengi.Msamatavangu Hana Mume? Jenista Muhagama Hana Mume?
Hadi Joyce Ndalichako Hana Mume? Tulia Atkson anapiga sana picha na mumewe, Dkt. Gwajima D WhatsApp profile picture yupo na mumewe wamepiga pamoja na ameandika "Na iwe kheri kwako 🤲🏼", hapo vipi?Sijasema wote nimesema walio wengi.
Wengine ok wana ndoa ila ndoa zao huwezi ona hata siku moja wamepiga picha hata na hao waume zao wamebakiza tu majina ya kuitwa Mrs.
Ila unaweza kupata nini? Msichukulie maskhala mnazungumzia suala zitoHuwezi kupata vyote
Waenga, tuelezeni na Bibi kidude alikuwa hana MumeHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Mzee ulipotea nikajua umeenda na Kisukarindio ujue kuwa wanaume tunataka sura na chura sio elimu kwa mwanamke
Ila mafanikio ni nini? Wewe umeolewa na kuzaa mara ngapi?Ukifanya utafiti utangua wengi Wana waume zao!!!
NB:Kuolewa & kuzaa sio mafanikio!
Ongezea na Angela kairuki!Hadi Joyce Ndalichako Hana Mume? Tulia Atkson anapiga sana picha na mumewe, Dkt. Gwajima D WhatsApp profile picture yupo na mumewe wamepiga pamoja na ameandika "Na iwe kheri kwako 🤲🏼", hapo vipi?
Wanaume huwa hatujiamini kuwa na strong womenHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Ata mm najiuliza hilo mkuuHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Kwa hiyo umeanza kuingia kwenye vitanda vya watu?Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
hahahaha wewe nipo nadunda nashukuru mungu. wala msijali mie nipo hapa duniani for another 17 years, touch wood😉Mzee ulipotea nikajua umeenda na Kisukari