Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeehhh atiii??? Funguka Mkuu wasukuma fisi sana teh teh tehOngezea na Angela kairuki!
Wanaume imara hawafiki 10% ya population ya wanaume woteKuna tofauti kati ya mwanamke imara na mwanamke jeuri. Unamaanisha mwanamke yupi kati ya hao wawili?
Hao aliowataja Wana waume zao,ndo nikamwambia amuongezee na Bi Angela kairuki!Anjela ana mume tena ni balozi
Mwanamke akipata pesa au elimu kubwa ni ngumu kumsikiliza mwanaumeHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Jesca Kishoia kavunja ndoa juziUnataka kumsema Mzee Halima Mdee.
Wanawake huwa wanakuwa na dharau haswa, mfano Lucas Mwashambwandio ujue kuwa wanaume tunataka sura na chura sio elimu kwa mwanamke
Kwahiyo hao walioko huko hawana hivyo?ndio ujue kuwa wanaume tunataka sura na chura sio elimu kwa mwanamke
Mkuu kwani huyu uliyemtaka ni mwanamke?e 🤣🤣🤣🤣Wanawake huwa wanakuwa na dharau haswa, mfano Lucas Mwashambwa
HatariAiseee nawe umeingiwa na hii ideology!?
🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
Kumbe!Mkuu kwani huyu uliyemtaka ni mwanamke?e 🤣🤣🤣🤣
Si mnaona hizi propaganda zenu za uongo dhidi ya wanawake ili ionekane wanawake ni wabinafsi, lakini tofauti ni kwamba wanawake wakipata pesa wanakula na watu muhimu kwao kwanza, ila wanaume wakipata pesa wanatanguliza kula na watu wasio na umuhimu kwao halafu wale wenye umuhimu wanakumbukwa baadaye hukoWanaume ni wakarimu sana. Tukipata pesa la kwanza tunaweza kushea na kinadada kwa kuongeza warembo wa kutumia nao.
Wanawake ni wabinafsi, wakipata pesa tu la kwanza wanawaza kujiengua toka kwa wanaume kwa kuhisi watakula pesa zao.
Kummanage mwanamke mwenye akili anaetumia logic uwe na akili mara 2 yake vinginevyo wanaume wengi ni vilaza hawaweziHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Mbona mama Kilango anapiga na Mzee?Sijasema wote nimesema walio wengi.
Wengine ok wana ndoa ila ndoa zao huwezi ona hata siku moja wamepiga picha hata na hao waume zao wamebakiza tu majina ya kuitwa Mrs.
Kama sijakosea huyu sio mke wa Dr Kachwamba wa Mzumbe au?Hivi unataka kusema Asha TU Kijaji Hana Mume?
Hujakosea una uhakika?Kama sijakosea huyu sio mke wa Dr Kachwamba wa Mzumbe au?