shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,068
- 3,507
Kuwa kiongozi mkubwa mahala flani ndo mafanikio!Ila mafanikio ni nini? Wewe umeolewa na kuzaa mara ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa kiongozi mkubwa mahala flani ndo mafanikio!Ila mafanikio ni nini? Wewe umeolewa na kuzaa mara ngapi?
Hilo jina Kaituki ni kume wake Balozi Mbelwa Kairuki.....Angela Salim A Salim...( wanaficha ) .....Ongezea na Angela kairuki!
Nipe Namba yake ya wa WhatsApp nipe na ya Asha piaOngezea na Angela kairuki!
Jenista anawamaliza kulinda ubunge .....ukigusa anakutoa kafaraMsamatavangu Hana Mume? Jenista Muhagama Hana Mume?
Unawatakia nini wake za watu hao?Nipe Namba yake ya wa WhatsApp nipe na ya Asha pia
Duuuuh hii ya leo kali kwa hio tusiguseJenista anawamaliza kulinda ubunge .....ukigusa anakutoa kafara
Wewe acha wivu wako huo lete Namba hizoUnawa
Unawatakia nini wake za watu hao?
Anjela ana mume tena ni baloziOngezea na Angela kairuki!
Aiseee nawe umeingiwa na hii ideology!?Wanawake waliojipata ndoa sio hitaji lao.....
Kataa ndoa, ndoa ni kichaka cha wanawake kuchuma mali za watu
Wanawake wa Kisimkazi kuna wangapi hawana waume?Hao wengi wako wapi?
Una uhakika gani Kama hawana waume?
Kadili mwanamke anavyozidi kupanda ngazi kielimu, kiuchumi au kimadaraka ndivyo anavyozidi kupoteza sifa za kuwa mke bora.Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Kuna tofauti kati ya mwanamke imara na mwanamke jeuri. Unamaanisha mwanamke yupi kati ya hao wawili?Wanaume huwa hatujiamini kuwa na strong women
Ningewajua ningeenda nikajaribu bahati yangu !Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Hatari..... Gusa uwake.....Jenista anawamaliza kulinda ubunge .....ukigusa anakutoa kafara
Uko sawa kabisa!Sijasema wote nimesema walio wengi.
Wengine ok wana ndoa ila ndoa zao huwezi ona hata siku moja wamepiga picha hata na hao waume zao wamebakiza tu majina ya kuitwa Mrs.