Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Si mnaona hizi propaganda zenu za uongo dhidi ya wanawake ili ionekane wanawake ni wabinafsi, lakini tofauti ni kwamba wanawake wakipata pesa wanakula na watu muhimu kwao kwanza, ila wanaume wakipata pesa wanatanguliza kula na watu wasio na umuhimu kwao halafu wale wenye umuhimu wanakumbukwa baadaye huko

Mwanamke akipata pesa hali na wanaume lakini atakula na wanaye, wazazi, ndugu na jamaa ila mwanaume akipata pesa atakula na wanawake na washkaji mara moja moja ndio atawakumbuka hao wengine, yes ni wanaume wangapi wakipata pesa wanakimbilia kuhonga wanawake ila wazazi wao wakiomba hela wanapigwa kalenda, ni wanaume wangapi wakipata pesa wanatelekeza watoto na kuwaachia wake ila wanawake ni ngumu kufanya hayo

Hata wazazi wengi wenye watoto wa jinsia zote huwa wanakiri kwamba wana kumbukwa zaidi na watoto wao wa kike kuliko wa kiume, kwahiyo ninyi wanaume mnawaita wanawake wabinafsi kwa sababu tu wakipata hela hawali na ninyi maana ninyi siyo priority kwao na si kwa sababu eti wanawake ni wabinafsi, ninyi kama mkipata pesa wanawake ndio priority kwenu hizo ni shida zenu binafsi na tamaa zenu za kijinga ila msilazimishe iwe hivyo na kwa wanawake
Nakubaliana na wewe
 
Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi

Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa

bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Mwanamke akiwa na elimu kubwa, kazi nzuri au pesa nyingi wanakua na dharau ndio maana ni ngumu kuolewa. Uo mtu wa aina hiyo uone moto wake Hawa watu mungu anawajua kwakkweli,
 
Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi

Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa

bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Si uoe ndo uje na haya maneno yako?
 
Back
Top Bottom