Watu wanaweza kuachana. Naondoka Mzumbe 2016 Dr Muhajir Alikua ni mume wa Dr Ashatu. Hapo kati kama wameachana sijui. Ndo maana nikaweka disclaimerHujakosea una uhakika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaweza kuachana. Naondoka Mzumbe 2016 Dr Muhajir Alikua ni mume wa Dr Ashatu. Hapo kati kama wameachana sijui. Ndo maana nikaweka disclaimerHujakosea una uhakika?
Basi itakua hujakosea MkuuWatu wanaweza kuachana. Naondoka Mzumbe 2016 Dr Muhajir Alikua ni mume wa Dr Ashatu. Hapo kati kama wameachana sijui. Ndo maana nikaweka disclaimer
Nakubaliana na weweSi mnaona hizi propaganda zenu za uongo dhidi ya wanawake ili ionekane wanawake ni wabinafsi, lakini tofauti ni kwamba wanawake wakipata pesa wanakula na watu muhimu kwao kwanza, ila wanaume wakipata pesa wanatanguliza kula na watu wasio na umuhimu kwao halafu wale wenye umuhimu wanakumbukwa baadaye huko
Mwanamke akipata pesa hali na wanaume lakini atakula na wanaye, wazazi, ndugu na jamaa ila mwanaume akipata pesa atakula na wanawake na washkaji mara moja moja ndio atawakumbuka hao wengine, yes ni wanaume wangapi wakipata pesa wanakimbilia kuhonga wanawake ila wazazi wao wakiomba hela wanapigwa kalenda, ni wanaume wangapi wakipata pesa wanatelekeza watoto na kuwaachia wake ila wanawake ni ngumu kufanya hayo
Hata wazazi wengi wenye watoto wa jinsia zote huwa wanakiri kwamba wana kumbukwa zaidi na watoto wao wa kike kuliko wa kiume, kwahiyo ninyi wanaume mnawaita wanawake wabinafsi kwa sababu tu wakipata hela hawali na ninyi maana ninyi siyo priority kwao na si kwa sababu eti wanawake ni wabinafsi, ninyi kama mkipata pesa wanawake ndio priority kwenu hizo ni shida zenu binafsi na tamaa zenu za kijinga ila msilazimishe iwe hivyo na kwa wanawake
JidanganyeNa mwanamke jeuri hapindui kwa mwanaume imara
Mwanamke akiwa na elimu kubwa, kazi nzuri au pesa nyingi wanakua na dharau ndio maana ni ngumu kuolewa. Uo mtu wa aina hiyo uone moto wake Hawa watu mungu anawajua kwakkweli,Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Nini maana ya Strong Women?Wanaume huwa hatujiamini kuwa na strong women
Swali la kibwege sana hili
Dhaifu sana weweJidanganye
Si uoe ndo uje na haya maneno yako?Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
kabisa mwanawane hawa sio kabisa wa kuweka ndani wach wapambane na hali zao. sii wanasema wat a man can do they can do better.Wanawake huwa wanakuwa na dharau haswa, mfano Lucas Mwashambwa
wee nionyeshe waliokuwa navyoKwahiyo hao walioko huko hawana hivyo?
Huyu ni mjane kutoka Kanda pendwaOngezea na Angela kairuki!
UwiiiiiiiJenista anawamaliza kulinda ubunge .....ukigusa anakutoa kafara
Angela Kairuki alifiwa na mume? Yupi huyo mtajeHuyu ni mjane kutoka Kanda pendwa
Haaa. Mr. Halima (MB) and his wife (MB)Unataka kumsema Mzee Halima Mdee.