Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi

Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa

bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Hawana waume kwa sababu wanawake ni wabinafsi kwa asili akisha pata kaelimu au visent kidogo anakuwa jeuri ,dharau ka kibri hivyo hakuna mwana mume wa kuweza kuvumilia hayo na hasa ukizingatia asili ya uumbwaji wa mwanaume
 
Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi

Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa

bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Ebu Lete Takwimu
 
Hao ni wafanyakazi kweny Taasisi hata mimi nakubali , ila wenye nyadhifa kubwa wote wana wanaume zao tena wanajielewa sio show off ..Ukianza tu kwa Raisi
 
Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi

Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa

bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Unakuwa umeolewa na serikali! Hata kama ana mume muda mwingi Kila mtu anaishi kivyake from my experience.
 
Back
Top Bottom