Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Hivi kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume. Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasioolewa au? Huu ni ubaguzi wa wazi.

Wanawake unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa.

Bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa.
Hilo pepo lipo Ccm tu!
Kulikemea hawawezi kwasababu hakunaga historia ya Pepo akamkemea pepo!
 
Hivi kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume. Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasioolewa au? Huu ni ubaguzi wa wazi.

Wanawake unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa.

Bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa.
Wanawaficha😅
 
Hivi kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume. Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasioolewa au? Huu ni ubaguzi wa wazi.

Wanawake unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa.

Bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa.
Observation yako ni sahihi kabisa.Mimi nilikuwa na mmoja,ikabidi nibwage manyanga.

Sababu ni hizi zifuatazo:
1.Kiburi
cha fedha.
2.Superiority complex.
3.Kuona kwamba hawahitaji mwanaume wa kuwatawala kwa kuwa wanajimudu kimaisha.Kwa ufupi hawaoni maana ya mwanaume.
4.Michepuko na viongozi wakuu.
5.Safari zinazoitwa za kikazi zisizo na mwisho ambazo hatimaye zinakufanya wewe mwanaume ujione kama housekeeper.

Sasa ukizingatia wewe ndiye unayepaswa kuwa kichwa cha familia,mm, unaamua kwamba hapa sipo,ni bora kusepa.

Lakini labda ni bora tukajiuliza kwa nini mambo yamefika hapa?Nadhani ni vema tukaweka wazi pia kwamba hali si mbaya tu kwa viongozi wakubwa serikalini,bali hali ni mbaya pia kwa wanawake wote wenye uwezo kiasi fulani kifedha.Nadhani wengi mmeshaona jinsi wanawake wanavyowezeshwa kifedha na hata kielemu,wakati vijana wakiume wameachwa wa-fend for themselves.Hii ni strategy ya Shetani ya kugeuza mpango wa Mungu wa wanaume kuwa viongozi wa familia.Kwa kufanya hivyo Shetani anadhamiria kukatisha tamaa wanaume,kwanza kuoa na kwa wale ambao tayari wapo kwenye ndoa, kufarakanisha wana ndoa na hivyo kuvunja ndoa na hatimaye kuharibu familia.This is all by purposeful design.

Wote ni mashahidi jinsi ndoa zinavyovunjika sana siku hizi.Huu ni mkakati uliobuniwa kuzimu,nia ikiwa ni kuharibu familia,kwa kuwa ukishaiharibu familia,umeharibu dunia morally,and that is what Satan wants.
 
Kummanage mwanamke mwenye akili anaetumia logic uwe na akili mara 2 yake vinginevyo wanaume wengi ni vilaza hawawezi
Kutumia logic kwenye ndoa ni upuuzi. Hao wanaotumia logic ni wapuuzi ndiyo maana wameshindikana.
Kuishi kwenye ndoa ama mapenzi kunahitaji vitu vingi vidogovidogo na si logic, kwa kuwa unapoishi na mtu inabidi uendane naye ili mfike kwa pamoja.

Vilaza ni ninyi mnaotumia logic za maofisini kuishi nazo nyumbani. LOSERS.
 
Security threat:Majasusi wa mataifa ya jirani wanawarubuni sana baadhi ya wanawake (desperate)Kwa kutumia mgongo wa ndoa au kuwaoa (Mapenzi) huku nyuma ya Pazia wakiwa na malengo tofauti ama kutimiza azma zao..Wawe makini sana hasa viongozi/wakuu wa taasisi..
 
Back
Top Bottom