Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣Kumbe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Kumbe!
Mi nauliza tu🤣wee nionyeshe waliokuwa navyo
Hilo jina Kaituki ni kume wake Balozi Mbelwa Kairuki.....Angela Salim A Salim...( wanaficha ) .....
Hawana waume kwa sababu wanawake ni wabinafsi kwa asili akisha pata kaelimu au visent kidogo anakuwa jeuri ,dharau ka kibri hivyo hakuna mwana mume wa kuweza kuvumilia hayo na hasa ukizingatia asili ya uumbwaji wa mwanaumeHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Ebu Lete TakwimuHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Hamna bwana.....wee ulionaga wapi mwanamke aliyesoma sanaa akawa mzuri bwana weweMi nauliza tu🤣
Huyo yuko na nkewe huko mjengoniUnataka kumsema Mzee Halima Mdee.
Hao ni manungayembe aka makomanyumbaMsamatavangu Hana Mume? Jenista Muhagama Hana Mume?
Unakuwa umeolewa na serikali! Hata kama ana mume muda mwingi Kila mtu anaishi kivyake from my experience.Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi
Wanawake Unakuta hata viongozi wa vyama vya siasa ni hivyo hivyo wa juu kama ni Wanawake wengi utakuta hawana waume wa ndoa
bungeni pia hivyo hivyo wengi hawana waume wa ndoa
Wapo wapo🤣🤣Hamna bwana.....wee ulionaga wapi mwanamke aliyesoma sanaa akawa mzuri bwana wewe
Wagumu kutoa wanaona bora kujichuaHivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume
Misemo ya hivi kama sio lesbian basi ni gold duggerUkifanya utafiti utangua wengi Wana waume zao!!!
NB:Kuolewa & kuzaa sio mafanikio!
Mtoa mada hajataja mtu .Unataka kumsema Mzee Halima Mdee.
Sifa namba moja ya mke ni kutumikia majukumu ya kindoa kwanza, kinyume na hapo huna mke.Ata mm najiuliza hilo mkuu
Sasa mume balozi, mke waziri hapo kuna ndoa? Tunamdanganya nani?Ongezea na Angela kairuki!