Kwanini asilimia kubwa ya wanawake wanaojiuza ni wanene?

Labda kwa sababu ya extra disposable income kupitia kukodisha miili yao.Je, wanaoacha kujiuza wanapungua unene, kama wapo?
 
Chai
 
Dah...kamwe usidanganyike...hakuna sehemu wanapojiuza..hizi ni stori za mjini tu...hata mimi ilikuwa hivyohivyo....niliambiwa..nilizunguka sana na sijawahi kuwaona kabisa [emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
Q-bar ushuani, Kimboka Buguruni, Riverside Ubungo, SugerRay Temeke, Meeda Bar Sinza na Corner Bar, Ambiance Sinza, hotel moja maarufu mjini kati Posta (sita itaja) nimewaona kwa macho.
Before nilikuwa siamini nasikia tu na kusoma gazetini.
Note: Mimi siyo mteja wa hiyo biashara.
 
The higher the demand, the higher the supply
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…