Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Ukitaka kuhakikisha akisemacho mtoa mada, tembelea masjara ya mkuu wa mkoa Tanga.
Ukitaka kuhakikisha zaidi asemacho mtoa mada tembelea masjara ya mkuu wa wilaya Nyamagana- Mwanza,, pale kuna lundo la maneno machafu na ukali usio sababu yupo mama mmja mbaya mkologo umedunda alafu nahisi ana ukimwi yule maninaa zake.
 
Mimi nikiwa na issue zangu kwenye haya maofisi sipendi hata mara moja kukutana na mwanamke anihudumie na ni utaratibu nimejiwekea nitakaa nimsubiri mwanaume mwenzangu anihudumie.

Kwanza nakuwa na uhuru hata kutengeneza mazingira ya kulindana huwa rahisi.
 
Ukitaka kuhakikisha zaidi asemacho mtoa mada tembelea masjara ya mkuu wa wilaya Nyamagana- Mwanza,, pale kuna lundo la maneno machafu na ukali usio sababu yupo mama mmja mbaya mkologo umedunda alafu nahisi ana ukimwi yule maninaa zake.
Hali hii ni mbaya sana na inauma sana mtu yakikukuta ,mimi ilifika wakati kutokana na kadhia hii kusema moyoni kuwa "nikipata hela ni kuhama na nchi kwani mambo ya hovyo yamezidi kiwango sasa yaani unyenyekee kama unaona uhai"
 
Hali hii ni mbaya sana na inauma sana mtu yakikukuta ,mimi ilifika wakati kutokana na kadhia hii kusema moyoni kuwa "nikipata hela ni kuhama na nchi kwani mambo ya hovyo yamezidi kiwango sasa yaani unyenyekee kama unaona uhai"
Siku hizi nikiingia ofisi yupo mwanamke sicheki nao kabisa akizingua na mimi nazingua hasa.
 
Wengi wanakuwa wameajiriwa kwa koneksheni, ukichunguza utakuta wazazi wao walikuwa na nafasi fulani; pia wanakuwa na mahusiano na mabosi wa mabosi zao, kwa hiyo mabosi waliopo pale hawawezi kufanya chochote; pia ni waongeaji sana, na hawana ufanisi kwenye kazi. Pia huongoza kwa kuwafitini wale wanaofanya kazi vizuri, hasa wanaume.
 
Ufeminist ni aina flani ya ushetani wanapandikiziwa, kupindua mpango alioweka Mungu. Mwanaume siku zote ni mtawala sasa wao na haki sawa ndio inawapa kiburi na dharau na kuona wanaume hatuna lolote.
Tatizo ni wanaume wenyewe kuyokujielewa.tuache kusingizia vitu ambavyo vimesababishwa na sisi wenyewe kutojitambua.
 
Nadhani ukosefu wa elimu na malezi mabovu wengi wao ni form 4 failure. Madem waliopiga kitabu km vle madaktari hawana nyodo za kijingajinga
Kwa Madaktari naweza kukusapoti kwa asilimia 80%mpaka 90% kwa sababu kwa upande huo nimekutana na watumishi wanawake wakarimu sana kama ndugu yako wa kuzaliwa pamoja jinsi wanavyohudumia na upole wao,pengine labda kwa vile wapo katika kitengo kinachohitaji huruma sana
 
Tatizo ni wanaume wenyewe kuyokujielewa.tuache kusingizia vitu ambavyo vimesababishwa na sisi wenyewe kutojitambua.
Nasapoti kwa asilimia zote ,kwani haitokei kuharibika kwa mfumo wowote ila sababu kuu inakuwa kuna upande haujatimiza majukumu yao inavyopaswa pamoja na kukosekana kwa ushirikino.
 
Nadhani ukosefu wa elimu na malezi mabovu wengi wao ni form 4 failure. Madem waliopiga kitabu km vle madaktari hawana nyodo za kijingajinga
Hapo nimekusoma ingawa wapo wenye elimu ndogo na wanajitambua kwenye majukumu yao ya kiutumishi.

Wenye elimu za uhakika/level za juu wengi wao hawana makuu ila pia wapo viruses
 
Back
Top Bottom