Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ikulu sukari ni bureleo hii sukari inauzwa 7000 tsh kwa kilo.yani zaidi ya dolla mbili wakati hakuna anayeingiza dolla moja kwa siku.. naona CCM yangu imefeli.Tuipumzishe ??????/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu sukari ni bureleo hii sukari inauzwa 7000 tsh kwa kilo.yani zaidi ya dolla mbili wakati hakuna anayeingiza dolla moja kwa siku.. naona CCM yangu imefeli.Tuipumzishe ??????/
MkuuUmejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa kodi kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo.
Sifa hizo kwa sasa zimeenda mbali zaidi kusifia hata pale ambapo wanasiasa hao hawajahusika hata katika usimamizi jambo lolote ila sifa hupelekwa kwao kuwa wamefanya jambo hilo kutokea.
Huo ni utamaduni usiofaa kwani ni mbinu ya kuwalazimisha watu kuona mazuri hata yasioyokuwepo na kuwafanya watu wasione udhaifu wa viongozi hao kisiasa.
Mbaya zaidi kumezuka hata tabia ya kuweka sherehe za kuwapongeza viongozi eti kwa kutekeleza miradi, katika sherehe hizo hutumia tena pesa za walipa kodi japo sherehe nyingi hufichwa kwenye jina la uzinduzi ambapo unakuta gharama ya uzinduzi inaweza kukaribia gharama ya mdari husika!
Nchi ya Kusadikika hiiUmejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa kodi kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo.
Sifa hizo kwa sasa zimeenda mbali zaidi kusifia hata pale ambapo wanasiasa hao hawajahusika hata katika usimamizi jambo lolote ila sifa hupelekwa kwao kuwa wamefanya jambo hilo kutokea.
Huo ni utamaduni usiofaa kwani ni mbinu ya kuwalazimisha watu kuona mazuri hata yasioyokuwepo na kuwafanya watu wasione udhaifu wa viongozi hao kisiasa.
Mbaya zaidi kumezuka hata tabia ya kuweka sherehe za kuwapongeza viongozi eti kwa kutekeleza miradi, katika sherehe hizo hutumia tena pesa za walipa kodi japo sherehe nyingi hufichwa kwenye jina la uzinduzi ambapo unakuta gharama ya uzinduzi inaweza kukaribia gharama ya mdari husika!
Mimi nimewahi ona kwenye TV TRA wakiwapongeza walipakodi kwa kuwapa tuzo mbalimbali na na hata website yao niliona picha.Umejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa kodi kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo.
Sifa hizo kwa sasa zimeenda mbali zaidi kusifia hata pale ambapo wanasiasa hao hawajahusika hata katika usimamizi jambo lolote ila sifa hupelekwa kwao kuwa wamefanya jambo hilo kutokea.
Huo ni utamaduni usiofaa kwani ni mbinu ya kuwalazimisha watu kuona mazuri hata yasioyokuwepo na kuwafanya watu wasione udhaifu wa viongozi hao kisiasa.
Mbaya zaidi kumezuka hata tabia ya kuweka sherehe za kuwapongeza viongozi eti kwa kutekeleza miradi, katika sherehe hizo hutumia tena pesa za walipa kodi japo sherehe nyingi hufichwa kwenye jina la uzinduzi ambapo unakuta gharama ya uzinduzi inaweza kukaribia gharama ya mdari husika!
Ccm inawageuza wananchi wajinga.....wanajua kila kitu.Umejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa kodi kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo.
Sifa hizo kwa sasa zimeenda mbali zaidi kusifia hata pale ambapo wanasiasa hao hawajahusika hata katika usimamizi jambo lolote ila sifa hupelekwa kwao kuwa wamefanya jambo hilo kutokea.
Huo ni utamaduni usiofaa kwani ni mbinu ya kuwalazimisha watu kuona mazuri hata yasioyokuwepo na kuwafanya watu wasione udhaifu wa viongozi hao kisiasa.
Mbaya zaidi kumezuka hata tabia ya kuweka sherehe za kuwapongeza viongozi eti kwa kutekeleza miradi, katika sherehe hizo hutumia tena pesa za walipa kodi japo sherehe nyingi hufichwa kwenye jina la uzinduzi ambapo unakuta gharama ya uzinduzi inaweza kukaribia gharama ya mdari husika!
Kwa CCM Hii ya wahuni na majambazi ambao kazi waliobakinayo ni kuiba kila kitu yaani fedha ,kura za wananchi,hawa huwezi tarajia kwamba Eti wataheshimu wananchi.Umejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa kodi kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo.
Sifa hizo kwa sasa zimeenda mbali zaidi kusifia hata pale ambapo wanasiasa hao hawajahusika hata katika usimamizi jambo lolote ila sifa hupelekwa kwao kuwa wamefanya jambo hilo kutokea.
Huo ni utamaduni usiofaa kwani ni mbinu ya kuwalazimisha watu kuona mazuri hata yasioyokuwepo na kuwafanya watu wasione udhaifu wa viongozi hao kisiasa.
Mbaya zaidi kumezuka hata tabia ya kuweka sherehe za kuwapongeza viongozi eti kwa kutekeleza miradi, katika sherehe hizo hutumia tena pesa za walipa kodi japo sherehe nyingi hufichwa kwenye jina la uzinduzi ambapo unakuta gharama ya uzinduzi inaweza kukaribia gharama ya mdari husika!