GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Achana nae atakupotezea muda....
Ndio Swaga zake vijana wanasema!
Hiyo style ya kulamba lips naona vivulana vingi bya kuanzia 2010 ndio style Yao! Labda ajitokeze Mmoja aje atupe ushuhuda
Kwani anauza nini mkuu....Sijawahi kumuona akijilamba ila huenda yupo sokoni....... anatafuta watejaa
Dawa yao ni kuwabomoa tu,Sasa Mkuu kwa tabia zao hizo za Kujilambalamba, Kurembua na Kujilegeza huwa wanatupa sana taabu Sisi Wahenga tuliozaliwa hii Mikoa ya Pwani kwani huwa tunahisi kama vile wanatushawishi kwenda Kinyume dhidi ya Maandiko ya Mwenyezi Mungu. Abadilike tafadhali vinginevyo huko mbele tusijelaumiana.
Mtoto wa Kiumeni kabisa utajilambalamba na kurembua vipi?