Kwanini awamu hii CCM inamhitaji zaidi Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema?

Kwanini awamu hii CCM inamhitaji zaidi Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
 
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
Sio awamu hii, SEMA wanamtaka Mbowe saana baada bya kuona Lissu katangaza na kuchukua fomu, before that walikuwa wanataka mbowe aondoke ndio ulikuwa wimbo wao.
 
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
Itakuwa ajamaliza kazi waliyomtuma!
 
IMG_20241220_130216.jpg
 
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
Mkuu, Lisu ana tisha ni RULA tu.
 
Lissu sio mlambaji wa asali za CCM. Hapo lazma zoezi la maigizo ya Upinzani liwe gumu😁 ndio maana wanahimiza Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti.
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
 
Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao?
Majibu ya swali lako umeyaandika ktk Aya hii. Mbowe aligeuzwa kuwa kibanda cha vocha cha ccm
 
😅😅😅😅😅😅😅Safari hii tumepishana Kila mtu kapita kwenye lane ya mwenzake kama kisbo na city boy🤔
 
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
Tanzania ina amshwa usngzn. Cdm muende na Lissu wakimkata basi jamaa waishi wenyewe na chama cha ukoo
 
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
Siasa za mbowe ni za ki father, rais kuwa controled. Wanaogopa politics za lissu maana ni aggressive, and ccm dont like aggressive politics. Si rahis ku control
 
Back
Top Bottom