Kwanini awamu hii CCM inamhitaji zaidi Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema?

Kwanini awamu hii CCM inamhitaji zaidi Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema?

Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.
Kila wakikumbuka Masauni alivyonusuriwa na Mzee Mbowe kuchezea kichapo Wanaona heri Tu Mzee Mbowe awe Mwenyekiti. Lissu siku ile Ingekua yeye angeacha iwe jino kwa jino. Mbowe amewasaidia Sana CCM kuepusha mauwaji
 
Wewe ya chadema yanakuwasha nini? Mwaka huu mnalo na bado kuanzia mwakani
Mimi sio CHADEMA, ila Nakupa fact's, wewe huna facts ,zaidi ya vionjo na mihemko yako!!!

Watu walio na wakati mgumu kuhusu Lissu Kugombea bni CCM, hasa CHIEF HANGAYA 🤣🤣🤣😅🤣😅
 
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.

Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.

Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
yaani CCM inaipenda Chadema?Tangu lini?

Ukiona CCM inampenda Mbowe basi mtu sahihi wa Chadema hapo ni Lissu

This is shame unakaa hapa kuitetea CCM eti mtu atakae wafaa,wakati inatakiwa mtu asiewafaa ndio tumchague
 
Back
Top Bottom