Huenda waliwaza Mbowe aachie Uenyekiti harafu Pastor P.Msigwa awe ndiyo Mwenyekiti wa Chadema!
Msigwa ni Team Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda waliwaza Mbowe aachie Uenyekiti harafu Pastor P.Msigwa awe ndiyo Mwenyekiti wa Chadema!
Kumbe chawa sio wa leo wala wa jana.
Wewe ya chadema yanakuwasha nini? Mwaka huu mnalo na bado kuanzia mwakaniKimewalamba nyie mlotaka mbowe aondoke sasa mnageuka ghafla kumtaka Mbowe baada bya Lissu kuchukua fomu, MAVI YANAGONGA CHUPI YANARUDI 🤣🤣
Kila wakikumbuka Masauni alivyonusuriwa na Mzee Mbowe kuchezea kichapo Wanaona heri Tu Mzee Mbowe awe Mwenyekiti. Lissu siku ile Ingekua yeye angeacha iwe jino kwa jino. Mbowe amewasaidia Sana CCM kuepusha mauwajiKwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.
😅😅🤣🤣 Kweli kweli tupu umekua bend mkuuHuwezi fanya biashara na mtu msiyeendana..
Mimi sio CHADEMA, ila Nakupa fact's, wewe huna facts ,zaidi ya vionjo na mihemko yako!!!Wewe ya chadema yanakuwasha nini? Mwaka huu mnalo na bado kuanzia mwakani
yaani CCM inaipenda Chadema?Tangu lini?Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake kwenye kinyang'anyiro hicho kuwa wenyeviti. Awamu hii hali ni tofauti kabisa.
Sisi awamu hii kama Chadema tunamuhitaji Lissu ila wao CCM wamebadili gear angani wanamhitaji Mbowe kwa udi na uvumba mpaka kupenyeza rupia.
Hii maana yake ni nini? Au ndo matokeo ya kinachosemwa asali zilizogawanywa wakitaka waendelee kulipwa malipo ya asali zao? Awamu hii kimeumana. Ni ama Chadema ibaki Mbowe astaafu kwa heshima au Mbowe na CCM wabaki Chadema ielekee kuleeeee...! Ngoja sasa nielekee kwa Mh. Mbowe nikajaribu na mimi kumsihi labda nitapata picha kamili.
Na hili ndio lilikuwa lengo kamiliHuenda waliwaza Mbowe aachie Uenyekiti harafu Pastor P.Msigwa awe ndiyo Mwenyekiti wa Chadema!