Kwanini Awamu ya Tano wananchi waliridhika na hawakutaka kabisa kusikia habari za Katiba Mpya?

Kwanini Awamu ya Tano wananchi waliridhika na hawakutaka kabisa kusikia habari za Katiba Mpya?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
 
Kinachoshangaza Katiba Pendekezwa hata haijapigiwa kura tayari Wapinzani wameanza Mchakato wa Katiba nyingine hasa wale Chadema

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba Pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano wengine wanasema wanataka ya Warioba

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Una kichaa, kwa takwimu zipi? Watu walikuwa wanaogopa kusema maana wangeliuawa, wangelipotezwa, wangelibambikiwa kesi, wangelifilisiwa biashara zao, wangelitekwa na mengine mengi y KUHtrisha uhai wao! Hili jitu hili hapa chini wacha Mungu aliondoe!
 
Una kichaa, kwa takwimu zipi? Watu walikuwa wanaogopa kusema maana wangeliuawa, wangelipotezwa, wangelibambikiwa kesi, wangelifilisiwa biashara zao, wangelitekwa na mengine mengi y KUHtrisha uhai wao! Hili jitu hili hapa chini wacha Mungu aliondoe!
Mods ondoeni Hiyo picha ya baba Retired!
 
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
uliwahoji wangapi?
uliwapataje?
wanakaa wapi?
wanaelimu gani? wana mlengo gani wa kisiasa?
lengo la kuwahoji lilikuwa nini?
 
Mkuu

Yule alikuwa katiba mwenyewe!

Maamuzi yake HAYAKUJALI katiba hii,hata SHERIA zilizopo aliona zinachelewesha maamuzi yake,katiba ikawa yeye!

Ndio maana Baada ya kuona hivyo wenye nchi WANANCHI wanaitaka ili ajaye asiharibu!!

ACHA waipate mpya ,itawasaidia kumwajibisha ajaye akiivunja!

Ya sasa hata akiivunja hakuna wa kumwajibisha ATAFANYA atakavyo Hadi kudra za mwenyezi ziamue zenyewe!
 
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?

You are boring. Na hauchekeshi. Pia umekuwa mzee Sasa punguza utoto.
 
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Simba wa Yuda ndo sababu kubwa..!!!
 
Una kichaa, kwa takwimu zipi? Watu walikuwa wanaogopa kusema maana wangeliuawa, wangelipotezwa, wangelibambikiwa kesi, wangelifilisiwa biashara zao, wangelitekwa na mengine mengi y KUHtrisha uhai wao! Hili jitu hili hapa chini wacha Mungu aliondoe!
Wangetumbuliwa
 
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Katiba mpya Ni nonesense Kama ccm wataendelea kuwepo madarakani
 
Najua inakera sana picha kama hiyo! Siyo nzuri hata kidogo, lakini Wacha ikukere maana hata wewe ulishiriki uovu huo! as long as ulimuunga mkono utawla wake wa kidhalimu!
Jifanyie tathmini unapooga yawezekana unatisha kuliko huyo fazako!
 
Back
Top Bottom