Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ifute hii mkuu, ni too grossUna kichaa, kwa takwimu zipi? Watu walikuwa wanaogopa kusema maana wangeliuawa, wangelipotezwa, wangelibambikiwa kesi, wangelifilisiwa biashara zao, wangelitekwa na mengine mengi y KUHtrisha uhai wao! Hili jitu hili hapa chini wacha Mungu aliondoe!
Tusiweke ubinadamu pembeni hata kama hatukubaliana nae