Kwanini Awamu ya Tano wananchi waliridhika na hawakutaka kabisa kusikia habari za Katiba Mpya?

Kwanini Awamu ya Tano wananchi waliridhika na hawakutaka kabisa kusikia habari za Katiba Mpya?

Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.

Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?

Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!

Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Unaanzaje kumlamkamikia gaidi mimi mwananchi wa kawaida? Nawaogopa watu wasiojulikana. Alipokufa gaidi na watu wasiojulikana wakapotea. Namzungumzia Gadhafi wa Libya
 
Kwa sababu kwenye awamu ya tano ilikuwa inatumika katiba mpya🐒
 
Na majizi pia aliwakomesha kabla hamjafa,na sasa mmejaa nyongo na mateso yanayoendelea bila Majibu!
Na tutawatesa sana, mliona sifa kutisha wananchi wanapokuwa wanakosoa serikali na kupora nguvu taasisi za kudhibiti serikali,
 
Back
Top Bottom