Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ifute hii mkuu, ni too grossUna kichaa, kwa takwimu zipi? Watu walikuwa wanaogopa kusema maana wangeliuawa, wangelipotezwa, wangelibambikiwa kesi, wangelifilisiwa biashara zao, wangelitekwa na mengine mengi y KUHtrisha uhai wao! Hili jitu hili hapa chini wacha Mungu aliondoe!
Alikuwa dikteta muuaji dhalimu. Kuna wakati utafika atakapotangazwa rasmi kuwa alikuwa kiongozi dhalimu, mwizi, dikteta na muuaji. Sawa na ilivyofanyika kwa dikteta Stallin.Mkuu
Yule alikuwa katiba mwenyewe!
Maamuzi yake HAYAKUJALI katiba hii,hata SHERIA zilizopo aliona zinachelewesha maamuzi yake,katiba ikawa yeye!
Ndio maana Baada ya kuona hivyo wenye nchi WANANCHI wanaitaka ili ajaye asiharibu!!
ACHA waipate mpya ,itawasaidia kumwajibisha ajaye akiivunja!
Ya sasa hata akiivunja hakuna wa kumwajibisha ATAFANYA atakavyo Hadi kudra za mwenyezi ziamue zenyewe!
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.
Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?
Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!
Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Walikuwa wanatishwa wala siyo kuwa waliridhikaKinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.
Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?
Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!
Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Sasa mbona mnaidaia Ulaya?Walikuwa wanatishwa wala siyo kuwa waliridhika
CCM wameshakubali tayariSasa mbona mnaidaia Ulaya?
Kila la kheri!CCM wameshakubali tayari
Tulia kula posho dada anguKila la kheri!
Mbege ipo Leo?Tulia kula posho dada angu
Mpuuzi wewe, utafukuzwa UWT muda siyo mrefuMbege ipo Leo?
Kwa yaliyoendelea awamu ya tano umuhim wa katiba mpya ulionekana waz kbs... Rais kufananishwa na mwenyezi, watu kumuabudu nayeye kufurahia, matumizi ya pesa yaidhinishwa nayeye. Marufuku kupeleka maendeleo kwa waliochagua upinzani!!Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.
Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?
Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!
Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
Mfuate huko kuzimu usitupigie kelele hapa mbwiga weweKinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.
Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?
Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!
Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi harakati?
najua sana it is very nasty, very disturbing and inhumane, BUT lakini huyu aliua watu wangi! where is ben Saanane, Azory Gwanda, Alphonce mawazo , maiti za kwenye sandarusi , MKIRU killings and many many other killings. Leo eti tusiweke ubinadamu pembeni, NEVER, a big NEVER tutamsema mpaka basi na huko Mungu amhukumu kifo mpaka anyongwe afe! johnthebaptistIfute hii mkuu, ni too gross
Tusiweke ubinadamu pembeni hata kama hatukubaliana nae
sikuwahi kuua mtu, kumpiga mtu risasi 51.... ina sababu ya kujitafakari!Jifanyie tathmini unapooga yawezekana unatisha kuliko huyo fazako!
Na majizi pia aliwakomesha kabla hamjafa,na sasa mmejaa nyongo na mateso yanayoendelea bila Majibu!Wananchi gani? Misukule ya jiwe,?
Misukule ya jiwe ilidhani Jiwe ni mungu na ataishi milele, sasa hivi ndio inaona umuhimu wa kuwepo kwa taasisi imara
Maneno Yako huenda yameua bila wewe kujuasikuwahi kuua mtu, kumpiga mtu risasi 51.... ina sababu ya kujitafakari!
Sijawahi, siko hicyo hata kiogo nachukia kuonea mtu kama alivyfanya JiweManeno Yako huenda yameua bila wewe kujua