Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini,Biden anatumia ndege kwa usafiri mpaka leo.Kama Biden anaanguka hovyo na kuongea na hewa lakini ni mdogo kwa Khamenei...
Kwa afya yake kutokana na umri alio nao sidhani kama ni kiongozi anaye paswa kuwa na mambo mengi.
Ndio maana Biden kasimama campaign, afya na umri havimruhusu.
Biden hayupo katika cheo alichopo Khamenei.Lakini,Biden anatumia ndege kwa usafiri mpaka leo.
Utetezi wako nimeukataa bila kuendelea kutoa sababu.Biden hayupo katika cheo alichopo Khamenei.
Rais wa US ziara za hapa na pale zinamhusu, Iran ipo kwenye sanctions toka 1970s..
Ikitokea ziara ya kwenda Lebanon hawezi kwenda Khamenei...
Watakwenda mawaziri ama rais.
Biden mwenyewe na ndege kuwepo lakini ziara za uchaguzi kashindwa kumaliza.
Hivyo kwa umri wa Khamenei au Biden ni wazee inapaswa wakae watulie na wapate muda wa kupumzika la sivyo ni hatari kwao.
Haujawahi kuona au kusikia kikongwe anaogopa kifo?Haujawahi kuona kikongwe anakimbia hatari yenye uelekeo wa kifo?Hakuna asiyeogopa kifo.Hayupo.viongozi wengi wa Hesbullah na Iran ni mababu. Hawana cha kupoteza. Kim wa NK ndio muogq ile wale jamaa naona kama hawana hofu kabisa.
We kichaa kweli akiwa anapanda ndege lazima akupigie simu anapanda ndege 😄 We unaijua Iran ilivyo kubwa kwa hio kwingine akienda anaenda na na gari zile zakupiga jeki sio.Kiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?
Kwa hiyo wewe unataka akwambie kila anavyopanda ndege si ndio? Acha umbea weweKiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?
Unakaza fuvu ila sababu zimetolewa.Utetezi wako nimeukataa bila kuendelea kutoa sababu.
Umezungumza naye akakuambia hataki?Kiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?
Hao ni hatari kuliko anavyowajua, arejee walichomfanyia ArafatKiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?
Niache bange kwani nimeishika?Kwa hiyo huwa anakaa ndani tu au hutumia punda?Unakaza fuvu ila sababu zimetolewa.
Khomeini ni kiongozi mkuu wa dini huko Iran.
Ana sababu zipi za kuzunguka kama utakavyo wewe!?
Acha bange mkuu.