Unamuona kila muda akitoka!?Niache bange kwani nimeishika?Kwa hiyo huwa anakaa ndani tu au hutumia punda?
Una uhakika kama hapandi gari?
Au wewe unamuona kila anapotoka!?
Acha kuitumia inakufyatua akili hanson's choice inakutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuona kila muda akitoka!?Niache bange kwani nimeishika?Kwa hiyo huwa anakaa ndani tu au hutumia punda?
Biden walimuondoa kwa nguvu hakujitoa. Kumbuka alikua anajigamba kwamba bado yuko fiti sema chama chake wakaoma wanaweza wasiambulie hata kura moja wakamlazimisha ang'atuke.Kama Biden anaanguka hovyo na kuongea na hewa lakini ni mdogo kwa Khamenei...
Kwa afya yake kutokana na umri alio nao sidhani kama ni kiongozi anaye paswa kuwa na mambo mengi.
Ndio maana Biden kasimama campaign, afya na umri havimruhusu.
Hayo maswali ungejiuliza wewe kwanza halafu unaleta hata picha tu akipanda ndege.Unamuona kila muda akitoka!?
Una uhakika kama hapandi gari?
Au wewe unamuona kila anapotoka!?
Acha kuitumia inakufyatua akili hanson's choice inakutosha.
Sio yeye yu, viongozi wengi wakubwa Duniani hawatumii dhana za kisasa kwenye mawasiliano maana watadukuliwa.Yaani kupambana na Israel utateseka Sana
Hata simu anatumia za mwaka 70 huko(game la nyoka)😀
Ungetupa neno mkuu maana kuna watu wamechokozwa wameshanuna tayari.Nikisema mtanitoa roho bure.
Huu ndio uzuri wa imani,mpaka unakufa nayo.safi sana.Mwambieni atuonyeshe hapo silaha ziko wapi. Maneno ya Hezbullah ni kweli kabisa, hawezi kupigana na sisi anakimbilia wavunjia raia majumba, kuuwa watoto na wanawake ili watu wamuogope. Vita haviwezi leo Gaza mwaka mzima hakushinda na Lebanon ataishia piga majumba tu hawezi kuwaface Hezbullah au Hamas.
Ona unabadili mada.Hayo maswali ungejiuliza wewe kwanza halafu unaleta hata picha tu akipanda ndege.
NB:Leta picha tu usimlete yeye hapa JF.
Leta hata fotografia basi ili tuondoe ubishi.Kuona ni kuamini.Ona unabadili mada.
Umeuliza kuhusu gari nimekujibu.
Apande ndege aende wapi!??
Ana shughuli zipi za kumfanya apande usafiri wa anga!?
Hayo maswali nakuuliza wewe ambaye unashupalia kuwa Khomeini anaogopa kupanda usafiri.
Sina uhakika kama alieuliza ataridhika na majibu yenu sahihi naya busara, kwasababu hayachekeshi wala hayamvunjii heshima muhusika!Kama Biden anaanguka hovyo na kuongea na hewa lakini ni mdogo kwa Khamenei...
Kwa afya yake kutokana na umri alio nao sidhani kama ni kiongozi anaye paswa kuwa na mambo mengi.
Ndio maana Biden kasimama campaign, afya na umri havimruhusu.
Lakini chanzo ndio hizo kasoro zitokanazo na kiafya, kusahau n.kBiden walimuondoa kwa nguvu hakujitoa. Kumbuka alikua anajigamba kwamba bado yuko fiti sema chama chake wakaoma wanaweza wasiambulie hata kura moja wakamlazimisha ang'atuke.
Sijakuelewa mkuu.Sina uhakika kama alieuliza ataridhika na majibu yenu sahihi naya busara, kwasababu hayachekeshi wala hayamvunjii heshima muhusika!
Wengi wa wanaoleta hoja hapa kuhusu hali za viongozi wa Mataifa makubwa, lengo lao ni kuwadhihaki na kuwadhalilisha, sio kwakutaka kufaham au kuelimisha.Sijakuelewa mkuu.
Ni kweli mkuu.Wengi wa wanaoleta hoja hapa kuhusu hali za viongozi wa Mataifa makubwa, lengo lao ni kuwadhihaki na kuwadhalilisha, sio kwakutaka kufaham au kuelimisha.
Safari hii hachomoi!Kiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?
Haujawahi kuona au kusikia kikongwe anaogopa kifo?Haujawahi kuona kikongwe anakimbia hatari
Unaelezea kuhusu watu waliorukwa na akili na kuongozwa na hofu?Hiyo ni kesi tofauti.Na wanaojinyonga jee
Yupo humu atakuja kukujibu?Kiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?
Mbona hata wewe ulikuwa unaogopa kupanda ndege kumbe umef........Kiongozi huyo mkuu wa Iran anaishi kama yupo karne ya 18. Hapandi ndege wala kutumia magari ya kisasa. Anaogopa Mossad?