Kwanini Ayatollah Khamenei anaogopa kupanda ndege?

Kwanini Ayatollah Khamenei anaogopa kupanda ndege?

Kama Biden anaanguka hovyo na kuongea na hewa lakini ni mdogo kwa Khamenei...

Kwa afya yake kutokana na umri alio nao sidhani kama ni kiongozi anaye paswa kuwa na mambo mengi.

Ndio maana Biden kasimama campaign, afya na umri havimruhusu.
Biden walimuondoa kwa nguvu hakujitoa. Kumbuka alikua anajigamba kwamba bado yuko fiti sema chama chake wakaoma wanaweza wasiambulie hata kura moja wakamlazimisha ang'atuke.
 
Unamuona kila muda akitoka!?
Una uhakika kama hapandi gari?
Au wewe unamuona kila anapotoka!?

Acha kuitumia inakufyatua akili hanson's choice inakutosha.
Hayo maswali ungejiuliza wewe kwanza halafu unaleta hata picha tu akipanda ndege.
NB:Leta picha tu usimlete yeye hapa JF.
 
Mwambieni atuonyeshe hapo silaha ziko wapi. Maneno ya Hezbullah ni kweli kabisa, hawezi kupigana na sisi anakimbilia wavunjia raia majumba, kuuwa watoto na wanawake ili watu wamuogope. Vita haviwezi leo Gaza mwaka mzima hakushinda na Lebanon ataishia piga majumba tu hawezi kuwaface Hezbullah au Hamas.
Huu ndio uzuri wa imani,mpaka unakufa nayo.safi sana.
ila jana niliona hesbora wanazungumzia cease fire,ah ah aha
 
Hayo maswali ungejiuliza wewe kwanza halafu unaleta hata picha tu akipanda ndege.
NB:Leta picha tu usimlete yeye hapa JF.
Ona unabadili mada.
Umeuliza kuhusu gari nimekujibu.
Apande ndege aende wapi!??
Ana shughuli zipi za kumfanya apande usafiri wa anga!?
Hayo maswali nakuuliza wewe ambaye unashupalia kuwa Khomeini anaogopa kupanda usafiri.
 
Ona unabadili mada.
Umeuliza kuhusu gari nimekujibu.
Apande ndege aende wapi!??
Ana shughuli zipi za kumfanya apande usafiri wa anga!?
Hayo maswali nakuuliza wewe ambaye unashupalia kuwa Khomeini anaogopa kupanda usafiri.
Leta hata fotografia basi ili tuondoe ubishi.Kuona ni kuamini.
 
Kama Biden anaanguka hovyo na kuongea na hewa lakini ni mdogo kwa Khamenei...

Kwa afya yake kutokana na umri alio nao sidhani kama ni kiongozi anaye paswa kuwa na mambo mengi.

Ndio maana Biden kasimama campaign, afya na umri havimruhusu.
Sina uhakika kama alieuliza ataridhika na majibu yenu sahihi naya busara, kwasababu hayachekeshi wala hayamvunjii heshima muhusika!
 
Biden walimuondoa kwa nguvu hakujitoa. Kumbuka alikua anajigamba kwamba bado yuko fiti sema chama chake wakaoma wanaweza wasiambulie hata kura moja wakamlazimisha ang'atuke.
Lakini chanzo ndio hizo kasoro zitokanazo na kiafya, kusahau n.k

Unafikiri angekuwa fit wangemtoa.
 
Mpa apo ni kwamba Israel ni magaid na awa jehova nao washajua bwana wao nguvu ana anategemea ugaid ndio uyu jehova gaid w kipalang,anda anaulizwa mbona ayatollah apandi ndege ili gaid Israel labda apite nae afu ndio waje umu kusifia ugaid wao uku wakiupaka majina ya kibabe mossad noma mossad awanyi tofaut na sisi wa kipalang anda mmesubilia Israel ajibu mmeona kimya sasa mnasubilia japo UGAID uyo ndio Iran mwiba wa Israel USA ulaya wote wanamuogopa kidume kinafadhili vita Yemen Lebanon Palestine Syria na akuna kikao wamekaa wamfate IIRAN IRAN IRAN ukiona mossad awezi kazi nenda kafugwe boom ww ukalipue nyumba y ayatollah ulidhike muisrael anamuogopa ayatollah na ndevu zake mmedanganywa uko kuwa Israel ndio kidume kumbe kidumu chakuchotea maji.😂😂😂😂☺️
 
Nenda kwa aliekudanganya muulize tena ivi utuambie Israel kidume au kidumu chakuchotea maji, pengine amkuelewana alimaanisha kidumu cha lita5 😂😂😂
 
Back
Top Bottom