Kwanini Ayatollah Khamenei anaogopa kupanda ndege?

Niache bange kwani nimeishika?Kwa hiyo huwa anakaa ndani tu au hutumia punda?
Mkuu ukisikia umbea usio na maana ndio huu ,mnataka aishije ? Watembee aende wap? Kwenye kampeni au kuzindua barabara?
 
Mnataka apande ndege aende wapi kufanya nn? Mada ya kitoto kabisa nahisi meingia jukwaa la watoto
 
Mkuu ukisikia umbea usio na maana ndio huu ,mnataka aishije ? Watembee aende wap? Kwenye kampeni au kuzindua barabara?
Unajisumbua aisee kwa maswali yako.Ukiwa serious sana utapata high blood pressure bure!🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…