Startimes wanaonyesha EPL??..England Premier League??..Tokea lini?Hicho king'amuzi ni bure kabisa tofauti na kilivyokuwa miaka ya 2012.
2017 nilinunua tena hicho king'amuzi nilikaa nacho mwezi mmoja tu na kukiuza kwa hasara.
Startimes ni full HD screen displays na imejaa action movies, tamthilia na inaonesha michuano ya EPL Jmosi, La Liga, Bundes Liga, Serie A, Europa league, michuano yote ya Africa na hata Ulaya.
Startimes mvua inyeshe isinyeshe ni kuburudika tu wala dishi lao halikati kati kama la Azam.
startimes bado sana mkuu kwa azam tvHicho king'amuzi ni bure kabisa tofauti na kilivyokuwa miaka ya 2012.
2017 nilinunua tena hicho king'amuzi nilikaa nacho mwezi mmoja tu na kukiuza kwa hasara.
Startimes ni full HD screen displays na imejaa action movies, tamthilia na inaonesha michuano ya EPL Jmosi, La Liga, Bundes Liga, Serie A, Europa league, michuano yote ya Africa na hata Ulaya.
Startimes mvua inyeshe isinyeshe ni kuburudika tu wala dishi lao halikati kati kama la Azam.
Rejea nilivyoeleza awali kuwa Startimes wanaonesha EPL Jmosi na huwa ni mechi 1 tu, kweli umeshindwa kunielewa hoja nyepesi namna hiyo? Basi TZ tuna safari ndefu sana kufikia nchi ya asali na maziwa.Startimes wanaonyesha EPL??..England Premier League??..Tokea lini?
Rejea nilivyoeleza awali kuwa Startimes wanaonesha EPL Jmosi na huwa ni mechi 1 tu, kweli umeshindwa kunielewa hoja nyepesi namna hiyo? Basi TZ tuna safari ndefu sana kufikia nchi ya asali na maziwa.
Hujachelewa Bado. Kule mechi zote zinarushwa kuanzia za vilabu mpaka za AFcon wakati Azam wanachagua baadhi ya mechikuna mwana alinambia startimes kumenoga sana, ila sijaprov bado
Chanel gn inaonyesha Epl ndan ya Startime?Hicho king'amuzi ni bure kabisa tofauti na kilivyokuwa miaka ya 2012.
2017 nilinunua tena hicho king'amuzi nilikaa nacho mwezi mmoja tu na kukiuza kwa hasara.
Startimes ni full HD screen displays na imejaa action movies, tamthilia na inaonesha michuano ya EPL Jmosi, La Liga, Bundes Liga, Serie A, Europa league, michuano yote ya Africa na hata Ulaya.
Startimes mvua inyeshe isinyeshe ni kuburudika tu wala dishi lao halikati kati kama la Azam.
Ila kuonesha kwa EPL siku ya Jmosi nimeeleza lakini umeamua tu kutozingatia hilo?Hakuna sehemu uliyosema wanaonyesha game moja kwenye hii post niliyoiqoute
K24Chanel gn inaonyesha Epl ndan ya Startime?
Mjuba ana mahaba yaliyopitiliza hadi anatuongopeaStartimes wanaonyesha EPL??..England Premier League??..Tokea lini?
Sikua najua aisee
Isije kuwa ile ya epl kila jumamosi na UTV!