Kwanini baadhi ya wanaume hampendi kuwasifia wanawake wenu?

Ndomana Hua mnchapiwa Kwa mentality hii
Ukienda kufanya umalaya huko unakojua, sipati hasara mimi, sio mwili wangu unaoenda kuzibuliwa matundu, sio mwili wangu unaoenda kuvuliwa nguo na wanaume wasiokujali eti kisa tuu anakusifia una tako zuri.

Yaan unaacha mwanaume nyumbani anayekujali anayekupenda unaenda kugawa k×ma kwa mwanaume ambaye hata ukiumwa hajui unatibiwa wapi.

The lose is on you.
 
Sometimes tunawaza tukiwasifia sana tutawapa kichwa alafu mtaanza kutupanda kichwani.
Shida iko hapo, ila wa nje huwa tunamwaga sifa kedekede kabla hujamnasa, ukimnasa nae mwendeo ni uleule mikausho mikali.

Akiwa ni mpenda sifa basi ataliwa na wengi, maana kwa kusifia tu kabla hujapewa tunda, utasifia mpaka akijamba.
 
Ok!...tutajifunza kusifia.
 
Kwa maana sio kitu kipya utakesha ukisubiri usifiwe na uliyenaye mwanaume akishamvua mtu kiupi basi hakusifi hata ujiue
Yeah
Akitaka kusifiwa bas atabadilisha wanaume kila siku, ukiona mwanaume anakusifia sana ujue bado hajaujua/kuuzoea mwili wako
 
What if you do that and in return he takes you for granted or taking advantage of you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…