eeeeh nyumbani kwangu tena?ili kuhakikisha?jamani nimesema sivai au nipige picha nikutumie?
Mkuu, angalia usalama wa maisha yako.
Asiyejua kufa na achungulie kaburi.
Unaweza pia ukafanya google search kuangalia case kama hizo waliojaribu waliishi?
LOL
Majungu hayo leta picha hapa ndo tujadili mada hii!
Mkuu unamaanisha jamaa alichukua mpaka picha !!! au picha iliishia kwenye retina yake mwenyewe ndo maana anajaribu kuiumba ..Majungu hayo leta picha hapa ndo tujadili mada hii!
Dah! Sidhani kama kuna mwanamke ambaye anaweza kwenda kazini pasipo kuvaa chupi/skin tight n'k maana mwanamke daima kutokana na maumbile yao uwa kuna maji maji ambayo uwa yanatoka ukeni, kitendo hicho uminyima mwanamke uhuru na hivyo ulazimika kuvaa chupi au kuweka kitu ambacho kitafyonza unyevu nyevu wowote utakao toka ukeni. Hivyo hasipo vaa chupi na kuvaa skirt tu kuna uwezekano akajichafua.
Inawezekana ikawa hivyo? Sijamhisi huyu mdada hata siku moja kama ana tabia hizo. Ni dada ambaye kikazi yuko makini wala hana mwekeo kama ana tabia za kihuni
vp mbn unanicopy na kunipaste?sivai unabisha?
mmmhh jamani napenda tu kakaribisha wageni lolWewe mtundu sana.
wee unafikiri alijisikiaje na yeye ni mwanaume rijali??teh teh...:redfaces:
Hili la G-String sina tatizo nalo hata mimi. napenda tu kusikia shuhuda kama je kuna baadhi kweli hawavai kabisa na kwa nini?
The only time I don't wear chupi is when I am in a jeans trouser hasa kipindi cha joto.
type yako ndio wabaya maana unakuta makalio yanatikisika kama mkungu wa ndiziThe only time I don't wear chupi is when I am in a jeans trouser hasa kipindi cha joto.
what you are saying is true....
type yako ndio wabaya maana unakuta makalio yanatikisika kama mkungu wa ndizi